Pages

Ads 468x60px

Friday, May 31, 2013

TUZUNGUMZE

Nikiwa katika dimbwi la mawazo ndani ya week hii nikitafakari nusu mwaka ushapita kuna vitu fulani bado havija kaa sawa..... ninachomshukuru Mungu nina afya,ninakula, ninaamka nakuendelea kufurahia vyoote alivyonibariki LAKINI, kuna hiki kipengele kinachosema NITAKUINUA KUTOKA KIWANGO KIMOJA KWENDA KINGINE   nielewavyo mimi hapa haijalishi upo katika hali gani.......... cha msingi ni wewe mwenyewe kujielewa na kuamini kuwa inawezekana na pia kufanya nafasi yako.( ninaelewa jinsi ilivyokuwa kazi hasa kwa wale waanzilishi mfano unataka kuwa  mfanyabiashara mkubwa lakini huna babu wala bibi aliyekuachia  hata shilingi yakuanzia mtaji kwi! kwi! kwi! patamu hapo lakini pazuri maana siku utafurahia jasho lako) cha msingi usikate tamaa najifunze kuthubutu, kuna wakati niliwahi kuwaza km labda ndoto ninazoziota sio zangu ni kwa ajili ya watu fulani fulani asikwambie mtu INAWEZEKANA. Ninachoweza kusema ni hichi..., NAMSHUKURU MUNGU SANA TENA SANA KWA HAPA NILIPO  MAANA YEYE PEKEE NDIO ALIYETUTOA NAKUTUFIKISHA HAPA lakini sitaki kuridhika na hapa nilipo nataka nishuhudie na nione kwa macho zile ahadi  NITAKUKETISHA NA WAKUU, UTAJIRI ULIYOFICHIKA NI WANGU,FEDHA NA DHAHABU NI MALI YA BABA NA MIMI NI MRITHI, SITAKUWA MKIA BALI KICHWA...................... inawezekana kabisa mpaka sasa hakieleweki na umeshakata tamaa ukidhani ile ndoto haita tokea tena kwa mwaka huu............. ngoja nikutia moyo  kwakukwambia hivi< ndoto yako inaweza kujibiwa siku moja ndani ya miezi kumi na miwili ya mwaka......... usiache kufanya juhudi na kupiga goti.......kiukweli hapa hata Mama wawili bado hakijaeleweka mwaka huu (material things) lakini naamini ni lazima kieleweke nakitaeleweka tuu....... siku hizi shetani huwa hanisumbui kichwa huwa nampa vithibitisho na kumwambia huyu Mungu wangu aliyenibarikia hivi vitu in 3-4 yrs nilivyomwomba na niliviona vitisho vyako shetani lakini ukachemsha huyu huyu ndie atakae nishindia haya ninayoyaomba sasa.......

joke( nimeamua kuachilia baraka zangu simnajua 2015 ndio hiyo naanza kujinadi mapema mkiniona mjengoni mjue kabisa nimeingiaje  kwi kwi kwi! maana msije mkaniita fisadi mtoto) jamani utani unaruhusiwa ikiwa kweli poua........

back to the topic
tuliomba, tukaamini, na tukauona utukufu wa Bwana....... hatujatulia bado tunakaza buti mpaka kieleweke.........HATUTA KUFA MPAKA TUSIMLIE MATENDO MAKUU YA BWANA

MJENGO TUNAOISHI
UGONJWA WA VIJANA
MJENGO TUNAO MILIKI TZ  HAYA........ HII SIRI SIJAWAHI KUSHUHUDIA KIFUPI NI KWAMBA TUNAMILIKI KAMPUNI KALE KAOFISI NINACHOWAONYESHAGA NDANI MWANGU HABARI NDIO HIYO MABOX YANAONGEZA TUU.............USICHEZEE OPPORTUNITY HATA SIKU MOJA HUWA HAIJIRUDII...........



KUMBUKUMBU LA TORATI

28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+ 2 Nazo baraka hizi zote zitakujia na kukufikia,+ kwa sababu umeendelea kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako:
3 “Utabarikiwa jijini,+ nawe utabarikiwa shambani.+
4 “Utabarikiwa uzao wa tumbo+ lako na mazao ya udongo wako na uzao wa mnyama wako wa kufugwa,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+
5 “Kitabarikiwa kikapu+ chako na kikandio chako.+
6 “Utabarikiwa unapoingia ndani, na utabarikiwa unapotoka nje.+
7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+8 Yehova atakuagizia baraka kwenye maghala yako ya chakula+ na kila kazi unayofanya,+ naye hakika atakubariki katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe. 9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake. 10 Na vikundi vyote vya watu wa dunia vitalazimika kuona kwamba jina la Yehova limeitwa juu yako,+ nao kwa kweli watakuogopa wewe.+
11 “Yehova pia atakufanya ufurike kwelikweli kwa ufanisi katika uzao wa tumbo+ lako na uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako,+ katika udongo ambao Yehova aliwaapia mababu zako kwamba atakupa wewe.+ 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+ 13 Na Yehova kwa kweli atakuweka kuwa kichwa wala si mkia; nawe utakuwa juu tu,+ wala hutakuwa chini, kwa sababu unaendelea kutii amri+za Yehova Mungu wako, ambazo ninakuamuru wewe leo ili uzishike na kuzifanya.14 Nawe usigeuke kando ya maneno yote ninayowaamuru ninyi leo, upande wa kuume au upande wa kushoto,+ kutembea kwa kuifuata miungu mingine ili kuitumikia.+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi 

Thursday, May 30, 2013

THURSDAY LOOK


Dada yenu
happy Mama

na Mume yake....
mmmmmh!!! nimejichunguza napenda sana kucross miguu sijui kwa nini????
ushamba mzigo......
Mama wawili
us

Wednesday, May 29, 2013

KITAA NA MAMA WAWILI

Siku yetu hiyo na Baba wawili tunazururaje?? huwezi ukatukuta tunazubaa zubaa mtaani kila mtu pekee yake zaidi yamakazini........ kitaa lazima unikute km sio wanangu basi na Baba wawili ndivyo ilivyo kwa Baba wawili km sio na mkewe basi na wanawe unless kuna umuhimu mkubwaaaa au nikitu cha kwenda kuchukua mara moja nakurudi........Namshukuru Mungu sana inatufanya tubond mnooooo.

Muke ya Slay
ninachopenda siku nikiwa kitaa na Baba wawili huwa sikosi zawadi hata pipi...... leo kaniingiza Apple na hizo boot ha!ha!haa! nilivalia hapo hapo shop kwi! kwi! kwi!
ki blackberry changu kinanisumbua  lakini huwa akinisumbui kwa sababu natumia simu ya Baba wawili mtu akinikosa kwangu  lazima atapiga simu ya Baba wawili  ambayo ntakuwa nayo km yuko kazini au ntakuwa next to him, so as him. muda mwingine marafiki zetu huwa hawatuelewi na mmiliki wa line ipi. hiyo ni style yetu na  kazi zetu zinaturuhusu..... Angalizo usije ukaenda kumshika shati mzee kisa kutumia simu moja eti mama wawili anafanya weweeeee!! that doesn't guarantee anything my dears ni style tuuuu

mama wawili
long sleeves sasa wakati wake maana kajibaridi ukiona mtu namikono mifupi anakomaa kifasheni

kasimu kakiwa kapya hata unavyokaweka kimapozi fulani hivi ngoja ukazoee Ha! ha! ha! 

Tuesday, May 28, 2013

MISS AFRICA PERTH PART 2


Baba na Mama wawili
Judges
Mr & Mrs
jamani Camera yangu ilikuwa iko busy nawatanzania tuu........ 
najiuliza ni kwa nini tulikosa mwakilishi??????? eti nyie warembo????
 mwakani mkiniangusha ntakomaa mwenyewe kwi! kwi! kwi! na hivyo sio lazima 2pcs
 mnashine mabest......
 Mr & Mrs wakiwa na friend
busy Mama
Tz family
 nimeringajee???

Waremboje????
 alinikera huyo nilimsamehe bureee Mpendwa
Muke ya Slay, Muke ya Moses na Muke ya Gaudence 
cute
gorgeous
The end


Monday, May 27, 2013

TULIVYOSHEREKEA SHEREHE YA UMOJA WA AFRICA

 SYLVIA WAMBOI FROM KENYA ALITUPEPERUSHIA BENDELA MISS AFRICA PERTH

Asingeshinda ningeomba nirudishiwe pesa zangu kwi! kwi! kwi!
mc
manjonjo  tu yakutukaribisha
walitutumbuiza  Afrika Warrior 
alitutumbuiza nilimpenda bureeee alisema najivunia kuitwa mwafrika na sitaionee haya injili....
mmoja wa warembo  kutoka Zambia

akituonyesha kipaji 
Congo nae alituwakilisha hivi


dressed by Diane Mtanzania mwenzetu ....big up Diane naomba discount ya hili Gauni sasa sijui na mimi ntachomoka hivi au huyu mwenzangu  urembo umechangia kwi! kwi! kwi!
dressed by Diane
na hiyo na nyingine mtaziona kesho endeleeni kunichungulia alivyovalisha warembo wa Tz
haya mambo hauhita diet simmeona wenyewe ni kujikubali tuuu..

baadhi ya picha ambazo Camera ya mama wawili isingeweza kuvumilia bila kupiga
kila kitu kimelala hapa.... confidence,urembo, kujikubali........
she is only 16 ka cute mnooo
from Liberia
Top 7

from left 2nd runner,miss Africa Perth 2013,  and 1st runner
nikiripoti kutoka eneo la tukio ni mimi Mama wawili. kaeni mkao wakuona warembo waliojitokeza hususani  Watanzania waishio Huku.