Pages

Ads 468x60px

Sunday, June 10, 2018

THE LOOK

Wapenzi kuna topic nakuja nayo soon naitafutia muda ..... otherwise mapicha yako mengi tuu tuendelee kusafisha macho Ha!ha1ha!
 usiombe kuwa mpiga picha wangu ntakupa maelekezo mpaka unizilie Ha!ha!ha! wanazila sometimes....
 mnuno vepe
 Pink haimkatai mtu eti eeh!
 Mama wawili

Anawapenda

Tuesday, June 5, 2018

KITAA.........

Kujitoa akili vepe ha!ha!ha!ha!

 Kabla sijahit kitaa ngoja tuji Canon....



 Miondoka lazima iendane na mikato Ha!ha!ha!
Ila ujanja wote sizunguki kitaa hivi kama Baba wawili hayuko pembeni Ha!ha!ha!

 msijali kito.... kilikuwa all covered sema kwenye mapozi ya Canon ndo nimejiachia
Nawapenda