Pages

Ads 468x60px

Wednesday, October 30, 2013

MELODY'S BIRTHDAY DINNER



 Mama wawili Heading.........

Happy family
Tambu,Birthday girl & Lisa
Melody & Lisa
Us

Monday, October 28, 2013

GORGEOUS LOOK


 Meet my wifi in her new look.......... she decided to chop her hair and this is what you see, oh! yes  my wifi umejitendea haki looking absolutely gorgeous!!!!!!!!

herself


bonyeza  HUMU kumuona zaidi

Sunday, October 27, 2013

TATENDA'S 30TH BIRTHDAY HIGH TEA



                                                      THEMES:  YELLOW & PUPPLE
                                                       VENUE:   ROCHELLE ALTES HOUSE
                                               ORGANISER:  FRIENDS




ISN'T SHE GORGEOUS????????

Y'RE SO CUTE TATE..............
yaaaammmm!!!


only ladies...........
Beautiful ladies


Tatenda's Mum speech


our birthday girl saying something.........

Mum n' Daughter

stunning........
The team

with a  birthday girl & Sis. Vina
With a friend

Tate with Mama wawili

gorgeous African Ladies
THE END

THE LOOK

Najimiss  myself.......... unfortunately myself is not a priority kwa sasa yayayaaa......... soon ntarudi kwa kasi,  ahsanteni wandugu kwakunichungulia nakutaka kujua kulikoni ... .......nipo jana na leo  pilika za maisha tuu!!!!nawapenda mnooooo.

muke ya Slay
Mama wawili

 stay tune to see what was all about the Look

Wednesday, October 23, 2013

I LOVE IT!!!!!!!


Hi guys, I miss you (my wadauzi) and my high heels almost two weeks now without rocking them................... trying to fit in my new business,and one of the things thought i must share is this................... 
wearing  kikazi zaidi to team up my workers ,Fit in and feel the job..................... ooh!! yes najipenda mnoooo  more interesting, when the customers pop in and ask me where is your BOSS??????????? ha! ha! ha! i looove it..............

Mama wawili

herself and only muke yake,

guess what???? just for few days of my experience , i throw out my complement to my very last Boss............... i have learned alote from her and understand her shoes better as the say, dont judge someone unless you're wearing his/her shoes

mtajiju  leo nimejiongeza kiswangish changu cha  kikayumba  hahahaaaa!!! mtaisoma tuuu ila msinishauri kurudi darasani  tatizo muda!!!!  

Monday, October 21, 2013

THE LOOK OF OUR WEBSITE..........


Haya wandugu nimeona niwadobolishe huo muonekano wa KIDISHCLOSET yetu......... tumeisubirije sasa ....... ............. sometime this week we will start to checkout!!!!!





(BONYEZA) CLICK KIDISHCLOSET TO SEE THE WEBSITE LOOK.

Friday, October 18, 2013

NAFUNGUKA .........



Wandugu kwakweli mwenzenu nimeuona mkono wa Bwana............. ametenda haswaaaa amebadili jina la mbeba mabox kuwa the Boss of her own............. si kwa akili zetu wala uweza wetu bali ni kwa neema yake....... ametuinua na kutufanya kuwa juu katika nchi ya ugenini???? sisi ni nani?????Jina la Bwana libarikiwe................

kiukweli nashindwa hata kujielezea Mungu ni mwaminifu jamani msikate tamaa Mungu hajafunga masikio  ameandaa mkate mezani pako zaidi ya unavyofikiria .............. yeye ni zaidi ya mipango ya mwanadamu!!!!!  
 Mungu katubariki kampuni nyingine inayoitwa.................., nakushughulika na ................... ambayo iko chini ya Mama wawili akiwa ana idadi kadhaa ya wafanyakazi wadhungu  ndani ya nchi iliyojaa urangi (hili siteti hata wao wenyewe huwa wanasema wamevunja record kwa kuangalia urangi) najaribu kukutia moyo wewe uliye nje ya nchi uone ni jinsi gani Bwana anaweza kutenda pasipo kuwa na njia.....................leo hii mama wawili sibebi bali nawabebesha!!!!!!!JINA LA BWANA LIBARIKIWE 
inaweza kuwa kawaida sana kwako ila kwangu mie ni muujiza!!!!!na bila huyu Mungu hili lisingekuwa ............nina kila sababu yakushuhudia matendo yake........

Nnachokumbuka siku moja nilimwambia Baba wawili wangu sasa we mwenzangu your the boss of your own hebu niombee na mwenzako basi na mimi itokee maana haya mabox ya watu ni noumaa!!! tulijichekea tuu kwa akili yakibinadamu nahisi tulihisi ni ngumu hasa ukiangalia mazingira na hivyo kila kitu ndani ya maisha yetu ni neema !!!!!! ila huwa tunajipenda tunapoamua kukomaa kwa ajili ya jambo fulaniki, mpaka nahisi Mungu huwa anakaa halafu anachekaaa na kunihurumia nakuamua kuachilia............. leo najiuliza hivi kumbe yale mazungumzo tulipanda mbegu  na leo tunavuna????!!!!! bado namshangaa sana Mungu.........


ninamengi yakujengana katika hili wandugu ila nipo busy mnoo wiki mbili hizi nataka kuuzoea  uboss kwanza maana hawa wenzetu wafanyakazi nao wakubembeleza  ukitaka wakuingizie hela inabidi uwe mpole maana hawachelewi kukwambia siji kazini na wewe unakazi kibao za watu unatakiwa kuzikabidhi, wamenipata lakini ntajishushaje?????  it doesnt kill me aisee  hata umeneja mmoja wao atapata aiseee hasa ningizikatia mimi jioni ndio nahesabu manoti........



Wateja wangu wa nguo za watoto mnisamehe wandugu website ipo tayari nilikuwa natakiwa leo kuingia darasani ili kujifunza jinsi yakuitumia kama nilivyowaambia nimekuwa bize mbaya zaidi siku za weekend hawafanyi kazi so by next week mtaweza kununua online wandugu. hakuna kulala hiyo  umachinga utapigwa kama kawa...............last weekend nimedrive miles kadhaa nimehesabu $$$$ kadhaa  aisee.......  namshukuru Mungu kwa kweli nimeshaanza kupata support pia kwa ajili ya hili hapo bado  mauzo ya website............ please just support mama Wawili hata kwakumnunulia mtoto wa rafiki yako kwi! kwi! kwi! yaani nayasubiri mauzo yawadau mnoo maana hizo inbox zenu mnanifanya niwe excited  kwa hili pia..................Mbarikiwe mnooo


ZAWADI
atakayepatia ni kampuni gani anapewa zawadi.

Wednesday, October 16, 2013

HAPPY BIRTHDAY TO MY .........................



FRIEND,DADA, SHOGA YANGU,...................................

Siku yangu ilikuwa kupiga deshi humu ndani maana nimechokaaaa++ ubusy duu!!!!  ila kwa ajili ya mrembo huyu nimeshindwa kuvumilia bila kumu wish humu ndani............

Mrembo katika watu ambao hasa kwenye mambo kiurafiki na mishe mishe za maisha na wamiss best yaani your one of the top................ nashindwa tuu kumwaga mchele kwenye kuku wengi bila shaka unanipata......... namuoneaje wivu sasa alichukua nafasi yangu........

Mungu akubariki na kukutetea, akulinde na kukutimizia haja za moyo wako zaidi akakupe furaha amani na upendo kama ulivyo jina lako......... my dear you dont fake you are real you, mimi penda wewe sana tuu....... ( nimekumbuka chochoro za ngome,mwembetogwa nikamalizia kariakoo mweee nimechekaje sasaaa.........)HAPPY BIRTHDAY !!!!

Tuesday, October 15, 2013

NIKUTIE MOYO



Nimejifunza kitu, japo niliwahi kusoma na kukisikia lakini leo nimekishika mwenyewe na kukithibitisha................MUNGU WETU NI MUNGU ATUWAZIAYE YALIYO MEMA
wakati wewe unajiuliza imekuwaje Mungu hakujibu au amekaa kimya hasa pale unaposugua goti,unapolia, unapojeruhiwa na hata kujikuta umepoteza tumaini........ ninachoweza kukwambia Mungu anatambua na kuthamini maumivu,machozi,na kila kigumu unachopitia................ISIPOKUWA hivyo vyote haviwezi kuvuruga mpango wake ulio mwema kuliko kiwango cha vile ulivyokihitaji.................

na wakati mwingine huwa kuna mambo fulani fulani yanayoendelea ndani  kuhusiana na hilo jambo ambalo kama ungefunuliwa mwanzo ungeweza hata kubadili maombi kuhairisha  hasa ukiangalia ugumu na usumbufu wa wakibinadam....... hivyo kwa mtazamo wangu naona  ameamua kuruhusu tuuu hayo maumivu na machozi maana ndio kiwango chetu huku akiachilia ufanye kwa nafasi yako na Yeye amalizie kwa muda sahihi na kwa jinsi iliyo sahihi...................


 na pia nilichojifunza unapokuwa kwenye maandalizi yakupokea unahitaji hekima sana....  kama tujuavyo Baba wa uovu naye hajalala anatafuta mlango wa kuingia na kuvuruga na usipokuwa makini unaweza kupoteza kusudi zima  kwa wakati huo.......  ninachoweza kushauri ni kwamba hakikisha umekabidhiwa funguo yaani muujiza tayari unao ndio uruhusu mdomo wako kufunguka................japokuwa Mungu wetu halali wala hasizii kwa ajili yetu bado atafanya njia yakutokea...... aiseee!!!!! anavyokutoa sasa!!!!!!! ( ha!ha!haaa!! nimejisikia kumcheka Shetani wandugu maana kwa hili hajanipata............ anasoma namba)

 Mwisho nilichojifunza ndani ya  hili Mungu hafungi mkataba juu ya jambo fulani alilokupa, atakufungua tuu ujue ni kwa nini hakukupa lile amekupa hili, wapi ulipo kosea , na kwa nini amekupa muda huu na sio muda ule, ni kwa nini aliruhusu upitie yale uliyoona kuwa ni mazito na magumu kumbe kilikuwa kiwango chako, kiwango cha uhitaji wako ulikiweka chini sana nakujisahau kuwa wewe ni kichwa na wala sio mkia,na mengineyo mengi yatakayopelekea kujitathimini na kujitambua  HUKUHITAJI MUUJIZA ULE BALI HUU ULIOUPATA SASA UNAKUSTAHILI NA UMEKUJA  KWA MUDA ULIO SAHIHI............

HUYU NDIO MUNGU WETU BWANA!!!!!?????

kesho nitafunguka kidooogo kwa mifano halisi ILA maliza kwa matumaini makubwa INAWEZEKENA... NA MUNGU HASHINDWI NA  WALA USIMPE MIPAKA YA UKUBWA WA JAMBO...... UWEZA WAKE NI ZAIDI YA HIVYO UNAVYOFIKIRI........

( mnaochukia maandishi wiki hii mnisamehe kidogo niko kihisia zaidi....)

Monday, October 14, 2013

SING WITH ME PLEASE.............



oooh,oooh my God is good*2 

Everything is double Double My God is good.......................


Yes!!!!! i can sing it 10000++++++++ times

  

UNAJUA YUSUFU ALISEMAJE????

Don't be afraid.... You intended to harm me, But God intended it for good to accomplish what is now being done.......................what a message!!!!???????


AND  HOW ABOUT DAVID ?????????

nilikuwa mtoto na sasa ni mzee sijaona mwenye haki ameachwa bure...!!!! Ahsante SIMBA  wa Yuda...

 STAY TUNE niuzoehe huu Muujiza mana kwa akili za kibinadamu unanifanya nijifinye finye kidogo kujua hivi ni mimi au????? vinginevyo nahisi niko exicited kupitiliza nisije nikashindwa kufikisha kihekima ujumbe ni kamkosea na Mungu wangu bure............ namuogopa munooooooo!!!

tusindikizwe na everyday suprise! suprise! suprisooo


chezea Mungu wewe................

Friday, October 11, 2013

NIMESHINDWA KUJIZUIA



 Naamini kuna Mtu mmoja katika hii Dunia yani kama ni Rose  ( mama wawili)  ni huyo huyo  akitokea mwingine watafanana kwa mambo fulani fulani lakini ukichunguza kiundani utaona tofauti kati yao, nikimanisha hata utendaji wao wa jambo,ndoto zao,  nini wakipendacho na nini asichokipenda............ ingawa, mara nyingine twafanana kwa sababu fulani fulani kama vile, nataka kuwa kama fulani, kumpenda zaidi muhusika,au inaweza kuwa moja ya misingi yakukamilisha uhalisia wako, lakini si moja ya misingi mikuu au mashindano kutaka kuoneshana mimi ni zaidi ya............. mengi ya haya hutupelekea kupoteza muda na kufanya ukamilifu wetu usikamilika  na zaidi kupoteza lengo lakujua wewe ni nani na umebeba nini ndani yako................



 nakazia kwa mfano mdogo kwa mablogger ili twende sawa ukitaka habari za utoaji, ujasiriamali na mashauzi yamjini mtafute  (Muke ya Muzungu,M.K), Ukitaka kujua Habari za maharusi na nini kinatrend muone  ( team hawachovi,Muke ya A), kwa habari za mujini nani kapigwa,kasutwa, kwa ujumla nini kinaendelea mujini muone (Dada yetu S. unstop...) kwa habari za ujumla  lifestle,serikali,mujini,............ muone (J.G muke ya D) hii ni baadhi tu yamifano tukazie mazungumzo yetu na hao ni watu ambao wengi wetu tunawafahamu wapo wengi mno mno................ukija kwa Mama wawili hapa utanipata kwa habari zakipendwa kutiana moyo we njoo tu tutafundishana kushika jembe,kulima, mpaka mavuno kigezo uwe na uvumilivu tu....... ukiona nafanya mengine mengine ujue labda niko inspired au ndo vile na mimi nataka nionekane kwi! kwi!kwi! ( mwenye uelewa na aelewe)

Sasa basi pamoja na kwamba tumeumbwa hivyo kuna watu amabao pia wameweka ili kukamilisha uhalisia wetu bila hata sisi au wao kujitambua mara nyingine...... nazidi kumtukuza Mungu kwa ajili ya hili fumbo..... natafakari tu kwa uelewa wangu huu mdogo kama lisingekuwa fumbo mbona humu duniani tungedaiana fadhila mpaka basi......... kitu kidogo tuu  tunalaumu bila mimi usingepata,nilikuombea wewe, na vitu kama hivyo lakini!!! huo ni ubinadam na ni kweli kiroho safi wandugu, Mfano kama mimi nilikuchukulia mtu muhimu sana kwenye maisha yangu na kufanya kila niwezalo siku utakayokuja kunijeruhi ntakumbuka tuu ile jeraha uliyoiacha ndani ya moyo wangu  siku zinavyozidi kwenda ndo naweza kujisahaulisha na kutafuta nafsi ya moyo wangu( human nature....) na hii ni sababu kubwa ambayo naamini kwa nini Mungu alifumba hili kwa baadhi ya watu na pia kuepuka kujitukuza mwenyewe bila kujiuliza uweza umepata wapi??? ( huo ni mtazamo tu wa Mama Wawili)


Leo katika pitapita zangu nimekutana na hii picha........ nimejikuta natokwa na machozi ya furaha huku nikiwaza mengi mno hasa katika safari yangu ya maisha................. ndipo nilipojikuta nikiandika haya yote......
Huyu Mama alipewa kipaza sauti siku ya graduation party yangu aombe, nakumbuka sikuwa kihivyooooo kiima lakini kulikuwa kuna connection moja ya hatari kati yangu na yale maombi sijui km yeye alilitambua hilo au ukimuliza nini aliomba siku ile atakumbuka mmmh!! mpaka apewe mkanda ajisikilize ki ukweli alitumika mnoo, alibomoa, aliharibu, alipanda, akabariki akaachilia mamlaka za kunifanya Huyu Rose anayeandika hapa............... kuna vitu naviona leo hii ninachoona ni list ya yale maombi aliyotamka siku ile huku kukiwa na tick kuubwaaa ikimaanisha IMEKUWA!!!!  Kwa kweli amekuwa ni mmoja wa watu walioifanya safari yangu nakukubali kutumika kwa uaminifu..........

NAMSHUKURU MUNGU MNO KWA AJILI YAKE NA PIA NA HESHIMU ILE NAFASI ALIYOKUBALI KUTUMIKA.......... JINA LA BWANA LIBARIKIWE


Wednesday, October 9, 2013

BRUNCH OUT WITH LADIES






myself


with Pauline......Sorry Pauline it is how it is!!!!!!!......i cant help myself when the food is on the table(you know what i mean)
  i can't believe some people went out for lunch just an hour after this ....... kwi! kwi! kwi! anyway Ladies
thank you  for catch up.......It was a great time, i didn't know it's all about this......... count me in please unless someone hide his wallet............
with Lisa a.k.a my partner in............... click HERE to see what she is doing for business

Monday, October 7, 2013

AFRICAN ATTIRE

my self
Mama wawili
kwi kwi kwi .... kuna kitu najicheka mwenyewe
muke ya Slay


Am proud to be African-Australian Hahahaaa!!! wandugu inanibidi tu otherwise ntafukuzwa mwenzenu wakati bado sijazichanga zakutosha kurudi home.......