Pages

Ads 468x60px

Saturday, March 26, 2016

HAPPY EASTER WADAUZ............

Huku kwetu tumeanza hivi  hatua chache kutoka  kutoka hapa nyumbani kuna hicho kama park Mama mtu ndo nlienda kuficha Easter eggs asubuhi asubuhi nikarudi kuwavalisha twende tuka hunt ha!ha!ha1 ni aina tuu ya kuwa na family bond .... Kulikuwa navimanyunyu  lakini tulikuwa wabishi ha1ha!ha!
nakibaridi cha hatari tumekomaa tuu.....

Tumeanza kihivyo yaani.....

 utakazo hunt ndo utakazo kula so ukiwa mvivu imekula kwako hahahaha!!

 was fun kwa kweli....... yaani watoto kitu kidogo sana wanaenjoy yaani.......
 happy kidos mtu samehe sura zetu zimeganda yaani baridi , kimvua plus kuamka mapema duuu!!! but was great fun yaani
 oops!!
too much ngoja tumgongee jirani na yeye tumuwish happy Easter mum ha!ha!ha!

Happy Easter to you all.

Wednesday, March 23, 2016

LATE POST.......

Bado naahaika na ku upload ndugu yaani sijui nimechezea vinini kwenye Camera video inagoma ku upload youtube  ha!ha!ha!

 haya hizi picha sijui nilipiga lini huko nimeona bora nizirushe he!he!he!

ka inti ka darasa la ngapi vile ha!ha!ha!



 kapole kenyewe


 kikikiii sijui ndo ku mkiss mpiga picha ama?

oops!!
nawapenda

Monday, March 21, 2016

NIPOGO......

Haya napita basi mnione bila shaka wote mko gado makamanda wangu........ kikubwa acha kulalamika just go with the flow kikubwa omba amani na Mungu ili kuthibitisha hivyo ndivyo alivyoruhusu iwe......

 nimejirekodi kakitu ila sasa sijui ni ushamba wa you tube au yenyewe tuu imegoma naendelea kuishughulikia nikiwa na mda . matumaini yangu itakubali otherwise itabidi nijipange upya ha1ha!ha! 


that serious face speaks everything ha!ha!ha!


 kwa kweli nafikiri tunahitaji kumrudisha gardener wetu ha1ha!ha! maana duu!! sio kihivi yaani msitu umekubari hatariiiii.



 Bwana Yesu ananiandaa mahali fulani......... Nakungoja Bwana  sihangaiki na wajuzi wa Dunia bali kwa kunyenyekea mbele za bwana......

Nawapenda

Sunday, March 13, 2016

TUZUNGUMZE

Wapenzi wangu  kumekuwa kimya sana......  kikubwa kwa sababu ya mda ambao nimejiona km ikitokea kupost basi cha haraka ni  mapicha  kitu ambacho sina uhakika km ndio kusudi kubwa la blog yetu.......

 Lengo kubwa la blog yetu ilikuwa nikumrudishia Mungu utukufu kwa yale aliyotenda anayotenda na atakayoendelea kutenda,  nikimaanisha kimwili na kiroho, uelewa wa mambo na jinsi unavyoweza kukabiliana nayo.........Hivyo utakubaliana na mimi topic za Tuzungumze ndo kubwa zinazobeba ujumbe wa blog. Mapicha ilikuwa ni kajisehemu tuu kakuchangamshia genge.

 Kutokana na kubanwa kidogo (jina la Bwana libadilikiwe ananiinua viwango kwenda viwango) lakini bado kuna hii kalama ambayo naamini nisiiache ikapotea...... naamini kuna wengi mnabarikiwa  ha!ha!ha!   badala yakukaa masaa matatu mpaka manne chini kuandika kufuta yaani too much  nimejikuta  nimekaa baada ya kutoka kanisani nawaza hayo masaa yakuandika yaani naweza sema huu ndo muda wangu mwenyewe hasa baba wawili akiwa hayupo nawatoto wako busy na movie zao baada ya kanisani............nikajikuta nimewaza kumuita mtoto anichukue video ya dk 10 kusave masaa yakuandika nilichotaka kuandika ha!ha!ha! yaani nizungumza kwa sauti hahaha!! nianze kujirekodi  halafu niwarushie kitu ambacho naamini hakita chukua  muda na labda kwenye kuzungumza sitatumia nguvu mnoo na akili ya kuchambua ili ujumbe ufike ha!ha!ha! 
 halafu ndo tuendelee na mapicha....

 nimejikuta nasutwa sana kurusha mapicha tuu bila kusimamia kusudi ambalo hapo mwanzo lilikuwa kiukweli nimejikuta nateseka tuu  km mkinisoma nimekuwa mvivu sana kuyapost huku ila ukinifuata facebook na instagram narusha rusha tuu.......


haya kwa udhamini wa Careen ingia kwenye link 


ukajue nimezungumza nini.... hatukujipanga jamani imetokea tuu   kiswangishi kiko humo ni noumaaa ha!ha!ha! na dogo kweli kunichukua kwa dakika 8-9 aisee...... nilimuahidi chocolate ha!ha!ha! wanaruhusiwa chocolate moja kwa siku so nimemwambia akitulia ya pili anapata ha!ha!ha! utaona mikono mara sijui kafanyaje lakini kwa ujumla ujumbe umefika...... 




Nawapenda