Pages

Ads 468x60px

Wednesday, May 30, 2012

Mama wawili computer imegoma wadau sijui ni network or?????. Computer very sorry wadau natumia simu hapa

Love you all

Monday, May 28, 2012

HONGERA ERICK & JOYCE

Erick ni mtangazaji wa PRAISE POWER RADIO.  nimemfaham kupitia kipindi cha kesha na praise power.............aaaaaawwwww!!!! yaani humu ni kuharibu, kubomoa, kuvunja taratibu na uharibifu wote wa muovu zaidi ni kupanda,kumiliki kufarijiana, shuhuda za matendo makuu ya BWANA.....kama uko bongo sikiliza  FM 99.2 utanielewa naongelea nini hapa hasa wale wa pande hii........


hongera sana JOYCE  ni mrembo sana


George hahahaaaa nakuaminia pande hizo

pendeza sana VERO wapi Sarafina?????
blogger JIMMY
LISTER kwa mbari miss you kamanda
people
ROSE

PICHA THANKS RUMAFRICA
Hapana chezea Magie toto lakinyakyusa a.k.a nyanda za juu kusini........... unampendaje??????
                                                    wataka kumjua zaidi????BOFYA HUMU

beauty with love



anakwambia ye hanaga tatizo na mtu wewe je?????


Sunday, May 27, 2012

JICHO LANGU











umbea.com

 





NIMEIPENDA

Elisa wetu kahitimu.............. hongera Ngomi kwa kukuza




Mama wa Elisa.....
Hapana chezea wewe
Ngomi & friend

Thursday, May 24, 2012

JICHO LANGU

Nanukuu "ALHAMDULILLAH jana nlfanikiwa ku LAUNCH my TALK SHOW.. "THE MBONI SHOW" Kipind Kitaanza kuruka Tarehe 31 mwez huu saa Tatu usiku mpaka saa nne usiku pale EATV."
 Hongera sana bidada nimeanza kukuangalia kwa jicho tofauti kwa kweli..........kaza buti kwa sana tu. yaaani hapa utakutana nawakukatisha tamaa, kukutia moyo, kujibembeleza km kina sie kukuandika andika km hivi hahahaaaaa!!!!! nimejistukia mapema maana najua tuuu wapo watakaosema........mwenye sifa mwacheni apewe sifa zake wapenzi.hizi habari sijui kamwiga nani sijui ..............aaaaaaagggggghhhhhh!!!!! mwangalie mtu kwa kile anachokifanya sasa, km chema mtie moyo.TUACHENI MANENO YASIYOTULETEA MAENDELEO  AKIKOMBOKA MMOJA TANZANIA IMEKOMBOKA.


NILIIPENDA SANA TUU

AMERICAN IDOL 2012


 Mshindi niiiii.............
 Philip

Ameitangaza injili  kwa nafasi yake JOSHUA


Wednesday, May 23, 2012

NIMEIPENDA SANA

Mama wawili  nimedondokea hichi kiatu wajameni yaani hako kamchongoko na rangi (neon yellow) uuuwiiii......hata kama sio loboutin hata cha $ 20 kikipatikana i must go for it!


NAJIULIZA



Australian mining magnate Gina Rinehart has topped the 2012 BRW Rich 200 and has also been revealed as the richest woman in the world with a $29.17 billion fortune
Hivi mpaka kufikia hapo mtu anakuwa na ndoto ya kuwa siku moja hivi????? au inatokea tuuuu??????? Unaweka malengo au ndo kila mtu na bahati yake?????????? unafanya kazi kwa nguvu zote au inategemea????????huyu mtu alikuwa na watu waliomwanzishia safari mfano wazazi halafu yeye akamalizia au ndo tutakula jasho letu wenyewe???????..............................SO WHO YOU WANT TO BE???????.........OOOOH!! YES YOU CAN WHY NOT???????

WE CAN DO ALL THINGS THROUGH.................


Tuesday, May 22, 2012

NIMEIPENDA SANAAA



NIONAVYO MIMI, UTOAJI NI KITU CHA PEKEE SANA..........UKIONA MTU ANASHARE KILE ALICHONACHO JAPO NI KIDOGO TENA KWA KITU AMBACHO WATU WASHAKISAHAU KABISA!!!!!!! DUUUU!!!!!! ANASTAHILI HONGERA,KUTIWA MOYO NAKUIGWA ..................HONGERA SANA FLAVIANA MUNGU AZIDI KUKUPA MOYO HUO








JICHO LANGU

NAMKUBALIJEEEEE?????? NAMPENDAJEEEE??????








GO BBY GOOOO!!!!!


Sunday, May 20, 2012

Advice pls......

Mama wawili wants to put on weight @ list 5kg more.................. nimejaribu sana tu jamani  naishia 49  kwa yoyote atakaenishauri hata nikifika 53 zawadi nono itatolewa hahahaaaaaa. this is serious hakuna mashauzi wala kejeri. maana nimeenda kwa doctor  check up zote zimefanyika na diet nimepewa hazijafanya kazi kabisa ameishia kuniambia no way this is your nature, unless i go for................ kazi kwako mdau.





JICHO LANGU


                                                   akiwa na wawili wake




huchoki kumuangalia au sio mdau..............

Kazi kweli kweli


hawa ndugu wamekamatwa wakienda kuwajaribu  watumishi............mmmmh!!!!!!!!