Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 31, 2011

HAPPY 2012.....

Nina kila sababu yakumshukuru Mungu kwakuniwezesha kuingia mwaka 2012........Kwa kweli MUNGU amekuwa mwaminifu kwangu tangu aliponitoa tumboni mwa Mama yangu mpaka leo hii nimeuona mwaka 2012 Duuuuu!!!! kwangu ni neema jamani!!!!!!!!!!!..........sina cha kumrudishia bali nashukuru.


Ahsante kwa wazazi wangu, Mume wangu, watoto wangu, ndugu zangu, marafiki zangu ,na wote tulikuwa kuwa pamoja katika safari yangu kwa namna moja au nyingine...... nawapenda sana maana nilipotaka kucheka mlinichekesha, nipolia hamkusita kunifuta machozi,nilipotakakuangua mlinisaidia kuinuka,nilipoleta ndoto zangu kwenu mlinisaidia kuomba nakufanya itimie,nilipotaka kucheza hamkusita kufungua mziki ili nicheze,nilipotaka outing za hapa na pale hamkusita kunikaribisha km mjuavyo napenda kula,kucheka,kucheza,mitoko ndo balaaa, na mengineo mengi yaani .....................mbarikiwe saana sana sanaaaaa!!!!!!!!


haya kwenu my HATERS yaani nyinyi mi nawapendaaaaa mbaya yaaani kwa asilimia kubwa yawezekana nyie ndo mmenifanya niwe hapa nilipo kwani challenge  zenu zinanipush vibaya mnooooo..........kwa sababu sipo tayari kuwapa ushindi na hamtopata  I say NO NO NO NO !!!!!! FORGET, Yes! am the best and i will still be the best............. endeleeni kukaa vikao vyeni vya kipumbavuu.........si kosa lenu anyway Rose mhando anasema walioshindwa wanamaneno mengi,jua likisogea nao wanasogea. hawajui kupambanunua nyakati.......................aawwwww!!!! that was my song for 2011!!!!!! yaani ushauri wangu wa bure mnapoteza Muda kushughulika na mimi........... mi wapande nyingine kabisaaaaaaaa. Well, sina haja yakujieleza sana coz you know am more than the best......... kwi!kwi!kwi! unabishaaa??????? haya we endelea kusaga lami............


Yes nimesema  hahahaaaa!!!! 



HAPPY NEW YEAR!!!!!!!

Happy birthday my bf Ghania Mtengeti Mkwawa

Soooooo!!!!! today one of my friends  is celebrating her birthday.......i wish ningekuwepo huko.............  hakijaharibika kitu  mtu wangu enjoy your day ..... lots of hugz from Slay,Careen &Cristabell




Much love coming your way for your birthday and for always.

Wednesday, December 28, 2011

Pregnancies of 2011

                                               
                             Beyonce: said, "Feel the love that's growing inside of me,"


my segito( Ngomi)

awwwww!!!
 
                                               
                                                      Mariah Carey:


cute Amy

                                                                    my mate

                                                      
                                                     Victoria Beckham rocking CL


cynthia

        
                                               
                                                        January Jones

                                                          
Pink she said:. "My life was once whiskey, tears and cigarettes," "Now it's snot tears and the color of poop. I do miss the whiskey, though!"

                                                    
                                                           Jessica Simpson




Tuesday, December 27, 2011

NOT EASY MR ADAM

my peeps  i received an email this morning....... i still dont get this why? why? why? me? am sure you have hips of people around, you can offer this.......sorry  MR. ADAM am not easy go....... just for $15 millions.......

Dear Friend,


i am MR.ADAMS GIWA ,from Burkina faso in West Africa.I got your e-mail contacts from computerised datas after my extensive search via the website for a God-fearing and trust-worthy person to bestow this transaction which is the only hope of our survival into his or her hands.When i got your address,I prayed and meditated fervently over it and i commited it into the hands of God, that you should be the rightful person to help us out before I made up my decision to contact you.I am The Manager of Auditing Department of Our Bank ,Ouagadougou Burkina Faso.
In my department we discovered an abandoned usd$15M( fifteen Million United States Dollars). In an account that belongs to this our foreign customer who died along with his wife and and children in the plane crash.Since we got information about his death, we have been expecting his next of kin to come over and claim his money because we cannot release it unless somebody applies for it as the next of kin or relation to the deceased, as indicated in our banking guidelines but unfortunately we learnt that all his supposed next of kin or relation died alongside with him in the plane crash leaving nobody behind for the claim.It is therefore upon this discovery that I decided to make this business proposals to you and release the money to you as next of kin or relation to the deceased for safety and subsequent disbursement since nobody is coming for it because I don't want this money to go into the bank treasury as unclaimed Bill.I will give you more details on your reply of this mail




Waiting to hear from you
MR.ADAMS GIWA

Monday, December 26, 2011

ADVICE PLEASE!!!

Huyu ni mwanamke amebarikiwa kuwa na watoto wa kiume  wtatu, ameishi kwenye ndoa yake kwa kuvumilia mengi hasa mwiingiliano unaotoka kwenye familia yakiumeni.... mojawapo ni hili mama mkwe na baba mkwe walihama kijijini na kuamia nyumbani kwakwe mjini kwa muda wa zaidi ya miaka mitatu, na kwa bahati mbaya sana hawakuwa na nyumba kubwa sana ambayo ingeweka heshima ya kati yake na wakwe, lakini aliweza kuishi nao nakuvumilia yote kama mnavyojua kukaa na wakwe pamoja kwa mda mrefu yataka moyo....


Kitu kikubwa hao wakwe wao ndo walikuwa waamuzi wa nini kipikwe na nini kinunuliwe na mume wake alikuwa anawapa first priority hao wazazi kuliko hata watoto sa nyingine , mwanake alivyojitahidi kulizungumzia mwanaume alisema waache wazazi wangu coz walinisomesha kwa taabu....... jibu hili lilimnyima nguvu mwanamke lakini alikuwa hana jinsi kipato chake kidogo alichokuwa anakipa ndicho alichokuwa anajitahidi kuwatoa watoto outing na kujifanyia shopping ndogo ndogo....


Pamoja na Yote mwanamke hakuacha kumuomba Mungu kwa yote anayopitia baada ya mda fulani Mwanaume alipata kazi nje ya nchi ikabidi aende na baada ya  miezi sita familia ilimjoin, wakwe ilibidi warudi kijijini na kuchukua almost kila kitu mpaka mapazia ya nyumba.....Sasa wako nje ya nchi anashukuru Mungu @list wanaishi kama mke na mume somehow lakini kinachomsumbua ni kwamba anajua Mume wake anapokea kiasi gani lakini hajui hizo hela zinafanya kazi gani anachojua mume wake akipokea mshahara asilimia fulani lazima itumwe Africa kwa wakwe ,bills,na atapewa kiasi cha kidogo cha matumizi nyumbani ambacho kinatosheleza kula tuuu hawezi hata kuwafanyia watoto shopping, nyingine sijui mwanaume anasave au vipi..... mbaya zaidi mwanamke amepokea msiba wa baba yake afrika alivyomwambia mwanaume km anaweza hata kutuma pesa kidogo, mume kamjibu hana hela  inauma sana wadau duuuu......na anaamini mumewe ana pesa kwani alikuwa anazungumzia kununua nyumba afrika...... na hapa alipo mwanamke anajishughulisha na kazi ndogo ndogo km za usafi hela yake aliyokuwa amesave alinunulia makochi ndani ya nyumba 2days kabla yakupokea msiba so hana kitu analia tuuuu.......jamani


jamani mlioolewa au mliowahi kupitia haya msaidieni huyu wapenzi afanyaje....... ???????????


yaani huyu mwanaume ninahasira nae........

Sunday, December 25, 2011

christmas @ the park

So this is how  we started our christmas................


mama wawili.....







cristabell and a friend

careen's friend

the girls...

my careen

happy family


mama wawili........eating everytime heheheeee

cristabell



careen jumping in....

ushamba mwanangu waliliajeeee?





kama kawa ushamba wa mamayao.....

walitushangaje na makelele ya wanangu....



happy girl

yaaammmmmhhh

dady n' girls



mery christmas...... spoted







thanks mumy n' dady we real had good tym.......

Thursday, December 22, 2011

SHIME SHIME WATANZANIA....MSAADA WAHITAJIKA
WADAU PLZ HII NI ADHA KUBWA JIJINI TUNAHITAJIKA KUSAIDIA WENZETU WALIOATHIRIKA.....KUNA VITUO VIMETENGWA RASMI AMBAKO WAATHIRIKA WAKO HUKO WATU ZAIDI YA KUPOTEZA NDUGU WAMEPOTEZA NA MALI PIA, HAWANA MAKAZI,MALAZI WALA CHAKULA

UNAOMBWA WEWE USAIDIE CHOCHOTE ULICHONACHO KUANZIA CHAKULA ,MAVAZI, MADAWA NA PESA KAMA UJUAVYO PANAPOTOKEA  MAJANGA NA WANAPOKUSANYIKA WATU

VITUO NI SHULE/ SEKONDARI YA
 AZANIA
MSIMBAZI
MCHIKICHINI
KIBASILA
MZAMBARAUNI
UHURU MCHANGANYIKO
RUTIHINDA
HANANASIFU
MAGOMENI
kama unajua vituo vyengine nijuze tujuze wengine kupitia twitter,shamyomy@yahoo.com na 0784 418941


NAJUA NJIA HAZIPITIKI NADHANI BODA BODA(PIKI PIKI)   ZITUMIKE KUKUSANYA HIYO MISAADA NA MWENYE KUWEZA ANAWEZA PITISHA MSAADA 8020 FASHIONS DUKANI,SINZA KWA REMMY
WASILIANA FLAVIANA MATATA TWITTER,8020 FASHIONS TWITTER ,DARFLOODS TWITTER TUONE NINI KINAWEZA FANYIKA



SOON VODACOM WANATUPA NAMBA YA RED ALERT MUWEZE KUTUMA PESA KUPITIA MPESA






KWA TULIO AUSTRALIA  TUSUBIRI RED ALERT JAMANI CHOCHOTE TULICHONACHO TUSHIRIKIANE NA NDUGU ZETU TANZANIA.

PICHA NA TANGAZO

AHSANTE http://www.8020fashions.blogspot.com/

Wednesday, December 21, 2011

New baby in U.S.A

Haleluya!!!! jina la bwana libarikiwe maana ametenda zaidi ya tuyawazayo......My bff, segito,Ngomi Nguluvi, mama wa ukweli........ Amebarikiwa mtoto wa kike (CHENELA) segiiii jina hilo unyaluni tutaliitaje????hahahaaaaa!!!!!All in all bby am happy for you...... hongera sana Elisa kapata dada, Mama chusi kaongeza mjukuuu.....



cute CHENELA......

mafuriko dar es salaam

hii ndo hali halisi inayowakuta ndugu zangu watanzania Eee mwenyezi mungu wakumbuke viumbe wako........poleni sana ndugu zangu

Monday, December 19, 2011

kardashian look!!!

Kardashian family's annual Christmas card........ 

Are you interested??????

 International & Tanzania  e mail me on  slayros@yahoo.com

Australia  call  +61412075332

for more details