Pages

Ads 468x60px

Monday, June 16, 2014

LA FAMILIA

unajua nini hata mimi nimewamiss sana tuuuu...............  haya sisi hapa tunawapenda mnooooooooo!!!
unahisi ni nani na nani yake hawa?????
Baba na Mama yao
us

Tunachoweza kusema inawezekana ukiamini, cha msingi,jitambue na kujielewa bila hofu ya umezungukwa na nini,  unapogundua kila unachokiona mbele yako ni mlima ambao haukupi matumaini yakuupanda,hujiongezi jinsi gani utapata njia mbadala yakuupanda, jua mafanikio kwako ni historia,  ndoto yako kamwe haitakuja kwenye uhalisia............. Hebu jaribu kulipa hilo jambo sura na mtazamo tofauti then fanya kwa bidii na kwa uaminifu nafasi yako,iliyobaki muachia Mungu  huku ukiamini HAKUNA KINACHOSHINDIKA KWAKE!!!!!HUTAJUTA RAFIKI!!!

1 comments: