Pages

Ads 468x60px

Thursday, January 16, 2014

BAJETI.......





Haya wapendwa wangu  mshindi wetu amenijia na budget hii ili aweze kujikwamua kimaisha, kama tulivyo msoma  unaweza ukamuelewa.............. 

 kwa yeyote aliyeguswa naomba tuwasiliane ( slayros@yahoo.com) panda mbegu kwa Bwana  kwa namna hii......  nakuhakikishia kama utatoa katika roho ya kweli nakupata kibari mbele za Bwana, Mungu atakukumbuka, itamkie neno kwa imani huku ukitarajia muujiza wako........ Ngoja nikupe siri  kiukweli mimi  sijajitosheleza  wandugu, mimi nimetoka kwenye familia ya kawaida sana  yaani ukiniuliza hata $1 huwa nikifumba macho huwa namuona mtu kwenye familia yangu anaihitaji ............. usinione hivi ....nina   majukumu mengi tuu Mungu pekee ndo anayenijua lakini kwenye suala la utoaji na Baraka za Mungu huwa naliweka kwa namna tofauti kabisa..... Naelewa kumsaidia ndugu ni kama kawajibu fulani,  ingawa siwezi kuwatimizia kila kitu, ninapo mpa ndugu kuna kale ka roho kana sema  huyu ni Mama yangu, huyu ni Dada, mkwe,  yaani kunakauthamani kidogo ndani yake, sadaka ya Mjane,yatima hizo ni sadaka ambazo tumeagizwa  wandugu nenda kasome maandiko yaani hizo nazo  bado huwa tunatoa kwa sababu .

 Nakuja kwenye hii sadaka ambayo yaani unatoa unataka mtu ainuke,  humjui hakujui hutoi kwa sababu yakuonekana ila unashuhudiwa rohoni kwa namna fulani utoe sadaka binafsi huwa naziita mbegu...........  Pia huwa nikiwa nauhitaji fulani ambao yawezekana  kiasi nilichonacho kwa muda huo hakitoshelezi hata nijikusanye vipi, huwa naamua kupanda mbegu huku nikimwamini Mungu hiyo mbegu itakuwa na kuvunwa........... huwa navimsemo vyangu ni kwa neema tuu mara nyingi hapo ujuwe kuna kupanda mbegu, kunamaombi yamefanyika, kuna namna fulani ambayo kibinadamu mtu hawezi kukuelewa,  kwa maana nyingine ( muujiza) ,asikwambie mtu kipindi hicho huwa nakuwaga na list ya matatizo mnoo, nakumbuka niliwahi pata lawama fulani baada yakujulikana  nimefanya kitu fulani ,huwezi amini nilishindwa kujitetea maana swala la imani bwana mapokea huwa yanakuwa tofauti na mara nyingi ukijitetea sana utamkosea na Mungu wako................


HEBU SHIRIKIANA NA MIMI TUPANDE MBEGU CHOCHOTE ULICHOGUSWA, 

 niaminivyo mimi huyu Dada anauwezo wa kujiangaikia akala yeye na mwanae  japo kwa taabu mnoo,lakini amechoka na hii hali ni mpaka lini, anatamani ainuke, anataka awe mahali fulani ambapo labda wewe umeshapafikia  au unangoja, hebu turuhusu muujiza wake na yeye ukamilike wapenzi. tuungane tuwe sababu ya muujiza wake.

Mbarikiwe sana sana sana .......tupeane Muda mpaka mwisho wa wiki ijayo kutoa ahadi then tutaanza kuzikusanya kitakacho patika ndicho Mungu alichokiruhusu.

MUNGU ATUWEZESHE NA KUTUONGOZA KATIKA HILI 

MBARIKIWE

BAJETI

USED PHOTOCOPY MACHINE
 1,000,000
Description: Macintosh HD:Users:suleimanmbeyela:Library:Caches:TemporaryItems:msoclip:0:clip_image001.png
COMPUTER

PRINTER

LAMINATION MACHINE

BINDING MACHINE
 1,000,000
CUTTING MACHINE

B. CARD CUTTING MACHINE

OTHERS

STATIONARIES &OTHERS
 500,000
REN PER YEAR
 1,200,000
UKARABATI AND SHELFS
 300,000
TOTAL AMOUNT
 4,000,000














1 comments:

  1. Mama wawili mbona bajeti haisomeki? yaani imetokea nusu...or is it just my computer ndo inadisplay that way?..embu icheck tena mamii

    ReplyDelete