Pages

Ads 468x60px

Monday, March 24, 2014

MAMA WAWILI

kama mjuavyo mwenzenu unyayo ukiwa mpya nakomaa nao mpaka unatubu wenyewe................. wiki tatu hizi tangu uingie  ndani mwangu kila kivazi ninachotaka kuvaa nakifikiria kivazi gani kitaenda na unyayo huu, hata kama hakuna ntalazimisha mpaka kieleweke!!!! kipya kinyemi eti???????

 naona kula zimepita kwenye mishikaki kuanzi kwa Baba wawili mpaka kwa wadau kwi! kwi! kwi!
Red & black huwa haikatai wandugu......... ni mtazamo tuuu

Muwe na week njema wandugu........

No comments:

Post a Comment