Pages

Ads 468x60px

Monday, March 17, 2014

MAMA WAWILI


Wapendwa wangu kama kuna tatizo nitawajulisha  tuu, mkiona kimya ni purukushani tuu za maisha, Ahsante kwa mlio inbox kutaka kujua kulikoni.............kama mjuavyo mwaka ndo huo mikakati mingi ili kukamilisha ndoto............... sipendi kuwa sababu kwa nini ndoto haikutimia ila, naruhusu nafasi ya yeye muweza wa yote kuruhusu kama ilikuwa wakati wake. tumeshachezea nafasi sana huko ujanani hizi za uzeeni ngoja tuzitumie vizuri eti?????  
kama nilivyowahidi last week natakiwa kuandika maelezo mengi kama kawaida yangu leo tena nimebanwa mno ila kesho no longolongo...................

 halafu poleni nasikia comments zinakataa sijui tatizo nini!!! huwa linaisha then linarudi tena . mara ya mwisho nilitakiwa kubadili design ya blog na jina libadilike kidogo kitu ambacho nahisi nalipenda hilo jina wandugu lilivyosima pekee yake bila kuongeza wala kupunguza tutangalia kama kutakuwa na ulazima basi itatubidi.

hivi na nyie mkipita maduka mnyama huwa anavuruga budget kama mimi???? nahisi na tatizo na hili yaani siwezi kuondoka sijambeba iwe kiatu,au nguo labda itokee ninaye



nawapenda



1 comments: