Pages

Ads 468x60px

Friday, March 21, 2014

KUTOKA KWA MDAU........................



Dah,yan mama double ile story ya yule kaka inasikitisha sana,ila Mungu ana mpango nae amelileta lile kwa makusudi yake.Ila na sisi wanawake wengine tunapenda kulipiza kisasi sana,halafu mama unaposimama kwenye zamu yako kila kitu kinaenda sawa,mwanamke mwezetu alikuwa hajasimama ndio mana hata mume wake alikuwa hamuelewi,alikuwa anatumikiwa watu wawili either kwa kujua au kotokujua.Huwezi ukawa unakunywa pombe na kwena kanisani kwa wakati mmoja,hata biblia inasema mwisho wa siku tutatapikwa kwa sababu Mungu wetu ni wa utaratibu,kama ni wa moto ni moto kama wabaidi ni baridi,hapendi watu wa vuguvugu.Ndio mama amekosa ushuhuda kwa mwanaume,halafu mama wawil amini nakwambia wamama ni jeshi kubwa na mda mwingine sisi wenyewe ndio tunachangia na mwanamke ukisimama kuna uwezekano wa asilimia tisin kumbadilisha mwanaume,Mimi mume wangu alikuwa ni mlevi wa kupindukia amini nilivyosimama kwenye zamu yangu sasa si mnywaji tena ikifika j"pil wote kanisani lakini hii yote imekuja badala ya mm kujielewa,coz nilikuwa kama huyo mama ambaye mme wake amekosa ushuhuda kwake,na mwisho wa siku sisi ambaye ndio tunaosababishia wenzetu maovu tuashida Yesu akirudi mana hataangalia kama ulikuwa mtoaji,mfagia kanisa,mwimba kwaya,mhudhuriaji ibada yani ni kilio cha kusaga meno,ila ashukuriwe Mungu wetu mana anatupa nafasi ya kutubu,huyo kaka inaelekea ana majeraha sana na mke imekuwa ni tatizo,asimwangalie mke wake anafanya nini anachotakiwa kufanya ni kusimama na yeye ndo ambadilishe mke wake,samahani nimeandika maneno mengi sana kwa sababu nimeumia sana,mama wawil umenibarki sana na uvaaji wako wa tarehe 17/03/2014 kuwa hivyo hivyo tuwe na ushuhuda kwa wenzetu tuache mawazo ya kusema Mungu haangalii mavazi anaangalia moyo wa mtu,si unaona mwenzetu alivyokosa ushuhuda kwa mumewe kwa kitu kidogo tu bia,atamani uipost kule ili tupone wengi na watu nao wachangie.ila email yangu kapuni.siku njema

No comments:

Post a Comment