Pages

Ads 468x60px

Sunday, September 22, 2013

WEWE NI EBENEZA (EBENEZER)................



Miaka mitano iliyopita tarehe na mwezi kama wa leo  ni moja ya sababu kati ya maelfu ++++++++ ambazo moyo wangu unashindwa kutafakari ukuu na uwezo ulionao, NABUBUJIKA NA MACHOZI YA FURAHA  HUKU NIKIIMBA WIMBO WA WEWE NI EBENEZER.............. Ninachokumbuka ni alfajiri na mapema nikipewa kalamu na file  nikiambiwa Mama sign unatakiwa kupigwa nusu kaputi, nikiwa  na amani bila woga na ujasiri huku nikiwa na shauku yakuliona hili zaidi nikiruhusu mpango uliokamili kutoka kwako( wewe ni Mungu utuwaziaye yaliyo mema)  kama mwanadamu wakawaida tu naitafakari ile amani uliyoiweka ndani yangu sipati jibu???????nilichoshudia watu wanne uliowaruhusu kutumika kwa ajili ya hili wakiniongelesha huku wakifanya kazi yao, huku wakinichekesha nakunisahaulisha habari inayoendelea huku wakiwa makini na kazi yao............ ndani ya dakika chache nilisikia sauti ya mtoto ikilia huku nikipewa hongera na kuonyeshwa malaika mrembo,mwenye kilo za kutosha sijui kama ningeweza kumpush wandugu...........nywele nyingiiii, na mengineyo mengi ambayo jicho langu lilipendezwa.......... malaika huyo ambaye leo anaitwa CAREEN................................. baada ya hapo ni mengi umenitendea kwa habari ya ukuwaji wake mpaka hivi leo na mengineyo mengi ninayoyatarajia ni nachoishia kusema...... WEWE NI EBENEZER 


pengo sasa mwanangu anajitahidi kuficha haiwezekani.......
Careen & friends @ kids church

my Angel
msijali huo mdomo ni pozi zakuficha pengo
my wawili( wandugu najua ni special day kwa careen lakini nimeshindwa kujizuia wasivai sare nimeshawazoesha sasa wananipa wakati mgumu mno kutokuwavalisha wanalia kila mtu anataka avae km mwenzeka tofauti wanayoijua wao ni rangi tu....
with Dad
Baba na wanawe
Mama na mwanae........
 katika birthday zote nilizomfanyia hii mwanangu kaenjoy mnooo  ameniambia Mama that was real cool, my cake was yam and i loved the pink sprinkles i wish  i be ten years old next week........... (in careens voice) kwi! kwi! kwi! cha ajabu sijashughulika  sana this year nimepeleka cake kanisani baada ya ibada kasherekea na wenzake na kesho napeleka shule cake akale na wenzake shule.



2 comments:

  1. Happy bday careen...omg u a 5yrs old now..be blessed...aunt

    ReplyDelete
  2. Happy birthday careen

    ReplyDelete