Pages

Ads 468x60px

Thursday, September 19, 2013

MAMA WAWILI

Wapendwa nipo jana, leo na kesho ...............huu ubusy kwa kweli ni dalili za muujiza wangu kha!!! yaani ni mpaka kieleweke, hakuna kukata tamaa hapa  ni mpaka nisimulie matendo makuu ya Bwana............ ombeeni na wala msichoke... ni kweli ukinicheki sura na mwili ni balaaa nimechoka mnooo .......Ahsante Mungu maana ijumaa hiyo ila kiroho hakuna kuchoka ni fire,fire,fire mpaka kilipuke...
mpaka jeans tunachomekea hkwi! kwi! kwi! hapana chezea......
Muke ya Slay




natamani kuzungumza nakosa Muda wakuandika Mungu akipenda nikiwa sawa Kesho tutazungumza............

1 comments: