Pages

Ads 468x60px

Sunday, January 27, 2013

LOVELY TIME WITH TANZANIAN FRIENDS

tuliona tujibague  this time watu Tz land peke yetu  tuliopo maeneo ninayoishi ili tujiachie hahahaaa!!! tulijiachiaje??? kula kwa picha tuu......
habari zetu ndo hizo kula kwa picha
the song was Mama ni mama yako usimzarau wa Bony Mwatege........
Muke halali ya Slay iko busy...........
Ahsante my shemeji zilikuwaje tamuuuuuu........
Mutu na ma uncle..........
ooooh yeah!!!!
baada yakushiba tulitafuta style za mdura  ( mzee Yusufu) hahahaaaa!!! am not a fan wa miduara but ikitokeaga event like this najikutaga na mimi mwenyeji........... kesho ntaweka video kwi kwikwi!!!
Mrs Majige & kids
mama na wana + Mrs Chigugu
mother houz ...........
nje nako kulinoga km hivi

1 comments:

  1. Hi Rose, Mrs Majige is a wonderful technical savy woman, i knew her from Bulyanhulu, she had up to 4 different machine licences, its a pleasant suprise to learn she and her extremely 'hunk' of a husband moved to Perth WA please tell her vicki said Hello, i bet she is also doing her thing at mining down there ?? so so joyful to see her

    ReplyDelete