Pages

Ads 468x60px

Monday, August 31, 2015

Ila na nyie wadau wengine  mbona mnahasira hivyo kha!!! utafikiri team naniliu??? Jamani siusiingie tuu humu???? mnanitesa mjue maana nawaoneaga huruma mpaka nalia............ kisema na wengine napenda kujiliza liza ila kiukweli nina huruma sana yaani........Halafu ninaugonjwa mmoja ambao hauna dawa mara nyingi huwa naiangalia hiyo comment kwa jicho la tofauti sio km lilivyokuja ..... mwisho wa siku nazidi kutambua ni jinsi gani hii neema niliyonayo ni garama mnooo .............. na pia nisiichukulie poa, maana the struggle is real out there........na pia huwa najisikia vibaya sana kwa sababu Muhusika sina nafasi yakuonana nae face to face  tukazungumza labda kwa namna moja ama nyingine tukasaidiana kurejesha matumaini....... chezea safari ya matumaini bila hata dawa ya maumivu???!!! ngumu sana kuyasubiri wengi wanafia njiani................

Haya minawapenda basi...... Na huruma zangu zote ila mapicha ya ze look kuyaacha nashindwa  sa sinitafunga Blog????ha!ha!ha! Sasa wale wadau wangu wa ukweli watanionaje???najitahidi mnoo kuzuia mashauzi mengine ila ze look mmh!! nilishawambia hii stage pekee naona ndo niliyoiruka utotoni  ha!ha!ha! blame my Mama hakuninunulia Camera ha!ha!ha!
ila kupendeza ndo napendeza nyela??? napemulonge!!! ndilimchepenge ha!ha!ha! only hehe land wataelewa.


userious wa mabox huwa nauleta mpaka mbele ya Camera.......





Wasumbufu hawakosekani..........






1 comments: