Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 18, 2015

TODAY'S PRAISE..................

Jamani nyiee  nyimbo za hivi msiwemnachelewa kunijuza  wa madongo kuinama mie......!!!! Huyu Dada jamani nyieeee, mwacheni Mungu aendelee kumtumia aisee duu!!! nyimbo zake huwa zinanipa radha zooote ..........ukiisha kama nimaombi nimeshafanya,nimeabudu, nimesifu yaani wimbo mmoja tuu kata kiu..................... yaani dah!!Naona nalia tuu huku nyuma ya komputa......................

Jina la Bwana libarikiwe

Yes for the rest of my life.................



1 comments:

  1. Ha ha ha ha ha ha mama wawili hili dili nimelistukia juzi kati, ikabidi ni nunue album nzima!!

    ReplyDelete