Pages

Ads 468x60px

Thursday, August 27, 2015

Hii siku mwenzenu nilitoka nitokako nimefika home naambiwa  Baba watoto  yuko kwenye shed yake ndo nikaingia humo........  Basi sasa nawazo la mapicha likaja nikaanza kumvuruga tuu  kijana ha!ha!ha! 



Black haimkatai mtu eti eeh???


kununa sasa.....!

Wakuvuruga utawajua tuu hicho kifaa kinavyoshikwa sasaha!ha!ha!

hamna kitu hapo..........

huo userious hapo kushoto kwangu vepe wadau?? mmmh!! sio kwakuwekewa mapozi hayo na mkewe ha!ha!ha!

Baba kamwage huo uchafu tuje tumalize siku (happy ending) wakubwa tuu ndo wataelewa hapa!!!(mission completed)

Nawapenda

2 comments: