Pages

Ads 468x60px

Monday, August 24, 2015


Hatujambo wapendwa??? Nyie ndo makamanda wangu..... bila shaka mpo pouas...... Eti nyie wenzangu huu mwaka hamja ushtukia?? au mimi tuu mipango mingi kha!! hivi unajua mwaka ushaisha yaani ndo tunaumalizia........... lakini unajua nini kwa Mungu miezi  labda kwake masaa au labda siku so bado inawezekana, miezi kuyoyoma isitufanye tuamini Muda hautoshi yale tuliyoyasogeza mbele za Bwana  kwa ajili ya Mwaka huu no kukata tamaa mpaka kieleweke.............. Nakitaeleweka tuu Kwani Mungu akiwa upande wetu ni nani .................. malizia mwenyewe kulingana na Muujiza wako.

Mapicha sasa

mtanyooka tuu  kasura kalivyotulia ha!ha!ha!mengine ni uumbaji tuu wa Mungu ole wako ukosoe nakupiga maombi ya upofu ki!ki!ki!ndo nishatangaza  biashara hapo............haya muingiage www.youniqueproducts.com/beyourose mkaniungishe.



Mama wawili


Nawapenda

1 comments:

  1. umependeza sana kwakweli una shep nzuri! tumbo flat utadhani huli chakula

    ReplyDelete