Pages

Ads 468x60px

Monday, August 3, 2015

ONJA (MEMORY'S BABY SHOWER)

Haya mwenzenu hii shughuli nilifanya tuu kupigiwa simu na best friend wa muhusika, alikuwa anataka kuandaa just simple dinner bby shower ila hana idea aanzaje ha!ha!ha!ha! Mama yenu sasa ninavyopenda shughuli nilitoa maelezo mpaka Bimkubwa akaona anikabidhi chungu nipike mwenyewe chezea kimbelembele weye!!! Kikubwa kilikuwa rangi maana Mama kijacho mwenyewe Diva.....yaani sikutaka kumuangusha halafu sikupenda kuweka Blue wala Pink niliona ntavuruga privacy za watukwanz aunaweza kusutwa nani kakwambia???  na ukilizwa ulizwa yanakuhusu!!! Ninavyoogopa kusutwa siku hizi na uzee huu ha!ha!ha! Kumbuka nikimbelembele tuu.........Nilivyopewa jibu Mama kijacho yupo tayari kiyellow yellow weee faster niliendeleza majeshi na haya ndo yaliyoendelea........

 Msiangaike mnaye party planner wa bureeeeee kabisa ha!ha!ha!



Ndo mtajiuliza tangu lini Soksi zikawa mapambo ki!ki!ki! yaani humo kuna games nilikuwa nimeziandaa sasa ilitakiwa zisionekane...... niliangaika kufunga na gift paper mweee nikachemka nikaona isiwe shida kwani soksi si brand new??????? Basi ndo iwe na Deco na kifichio mumo kwa mumo ha!ha!ha! Niulize na huyo niliemuomba anitengenezee keki nahisi alijua am the best baker yaani........ha!ha!ha! kumbe hata kukoroga uji wake sijui......

 She is Gorgeous aiseee 



Divas with selfie ha!ha!ha! Hang on! so who is Prego there??? Ha!ha!ha! she is blessed eti eh??? yaani, eti anytime soon baby is out kwa tumbo lipi sasa??? na belt juu ha!ha!ha! huu utani aisee i think i can i have my no.3 soon ki!ki!ki! Iga ufe wanasema!!!

The table was set........



Colours!!!!
who is better in heel????????

Happy people

 Show them how we do in Africa Sis.!!!! Yes she did in Zambian Style ha!ha!ha! Next time i will bring my Tanzanian team to beat Zim & Zambia ha!ha!ha!ha! (joke)...................


So that was my full look.......  Well as far as i know am  brown not black ha!ha!ha! blame on whoever snap this ki!ki!ki!ki!


The woman behind the Camera

kama rafiki yangu facebook na bado unahamu yakuona matukio ya hii event haya nenda kachungulie siwezi kupost zote hapa nimefanya kuwaonjesha tuu

1 comments:

  1. Mlinoga haswaa na colour imetulia! Mungu amjalie kila la heri mama mtarajiwa

    ReplyDelete