Pages

Ads 468x60px

Friday, October 24, 2014

MIMI HAPA........

Tufanye kumaliza wiki yetu kihivi basi, Wandugu tusisahau kwenda kwenye mikusanyiko ya ibada. Muombe Mungu akusaidia usiwe tu ni mmoja wa mkusanyiko bali Akusaidie masikio ya rohoni usikie na kutambua kile alichoandaa kwa ajili yako. Wengine tumesahau hata mlango wa Kanisa labda kwa sababu tuliumizwa, Ngoja nikwambie Mungu aliruhusu hilo ili aone imani yako. Ulimpenda wewe kama wewe au ulimpenda kupitia aliyekuumiza, Ama labda unaona ni usanii tu yawezekana yule anayekuhubiria ulikutana nae kona fulani isiyompa Mungu utukufu (uwe na uhakika acha mambo mbofu mbofu yakuambiwa nakuhisi)  Sikia mpendwa wangu, Mungu wetu anatumia mtu yoyote yule ili kujenga ufalme wake.............. kikubwa heshimu madhabahu, ule muda na saa aliosimama madhabahuni nakukufundisha neno ambalo hata wewe mwenyewe unaamini ni neno la Mungu Eti ???kwani kusoma siunajua au?? hilo ndo la msingi mengineo achaga watu watumike na wewe ufanye yako.......

Haya  basi ndo mnionage nilivyojitumbukiza kwenye manguo makubwaaaaa Chezea fashion wewe???
nani huyu???
ndani ya tinted wee lazima unipende
nakununa kunaruhusiwa mjue.....

Nawapenda

No comments:

Post a Comment