Pages

Ads 468x60px

Wednesday, October 15, 2014

IMEBAKI KUMBUKUMBU TUU.............

Siku yetu ya mwisho tukasema sasa leo ni kukaa hotelini tuu huku tukikusanya vilago vyetu.......


 ila kwa kweli hii hotel nimewapa 99% hasa kwa watoto mzazi hutojuta.....  yaani kama bajet yako ya hotel tuu hutaki kwenda sehemu nyingine bado mtaenjoy humo humo ndani...... games za watoto kibao....... bila kuwasahau wazazi wana 4hrs free yakufanya yao ma bby sitter wapo humo humo ni wewe tuu kuwapata taarifa km utahitaji huo muda or not........


kwenye suala zima la maji ni shiiiida!!!


 Mara nikasikia tuendeni basi hata baharini tukapate upepo!!! maji tena ya humo ndani sijui haya radha mi sijui..........

Hapo chacha maji hayakuwa sana huo mchanga  sasa tulichimba,chora,andika............


msindikizaji nilikuwepo

kikweli  we had lots of fun!!!  haya sasa tumerudi kubeba mabox kama kawa huo ubusy wake sasa !!!!

Haya tunawapendeni nyinyi  wooote

No comments:

Post a Comment