Pages

Ads 468x60px

Monday, October 27, 2014

CAMERA IMENIVURUGAAAAAA......................

Mnajua nini Hii Camera yenu ina wivu na nyie ,au ina pepo inahitaji ikemeweeeee?????  Ha!ha!ha! sijui nimechezea nini basi inanitoleaje madudu na mazekingereza yakicamera mi bwana siyaelewi  kha!!!

Basi sasa nmatukio ya hii siku ndo mmekosa fanyeni kuonja tuu.........

Aisee si nikaenda mwenzenu kwenye event, watu walitakiwa hayo makofia wayatengeneze yaani hata kama umenunua basi uweke weke mavitu ionekane kama umeitengeneza mwenyewe ........ Mi mkinga hayo mambo bwana sinaga......... nikalibandika km nilivyo nunua.......  ofcourse sifa nilipewa mnooo, ila nafasi ya ushindi sikuitegemea kabisa na nilikuwa muwazi jamani sina nilichofanya hapa zaidi yakubandika kichwani........... Duu hapo ndo nasemaga yaani km ndio ni ndio tuu.Kibari cha Bwana hakinaga wewe ni nani?umetoka wapi?au nini na nini........ Mara kidogo nikaitwa eti mie ndo Winner nikajaribu kujitetea wandugu mi sijatengeneza hii kitu......... nilichosikia ni 95% ya waliokuwepo wakipaza sauti Haijalishiiii!!!(ha!ha!ha! nimeongeza chumvi mweee waliongea kiinglish lakini)

Anyway Sifa na utukufu zimrudie yeye aliye juu.......... kiukweli ukiona umezungukwa na rangi nyeupe zaidi ya mia moja halafu nyeusi ziwe hata kumi hazijafika na Bado ukatambulika na kuheshimika aisee usiichukulie poua!!!!Ni NEEMA!!! Wanao ishi nchi za watu mnanielewa hapa eti eeeh...........

Haya basi mfanye kuonja huo muonekano.........
Mmeniona eeh???

Kha!! mi mweusi lakini hapa Camera imeongeza chumvi mweee!!





with my Friend


in our own world........

love you all...

2 comments:

  1. Umependeza sana iyo rangi ya nguo imekung'arisha zaidi

    ReplyDelete
  2. U dont need to add up kgs ur just perfect i lv ur size mm natamani kulia na kupungua

    ReplyDelete