Pages

Ads 468x60px

Monday, September 1, 2014

LA FAMILIA.............................

Kama kawa kijiwe chetu , tukitokaga tuliko toka hapa ndo kwakumalizia story na kucheza cheza bora mradi tumalize siku................

Mama na Baba yao ............
spotted!
kuna mtu wivu umeanza kumshika nyuma  yetu mnamuona eeh????enzi zetu ukishaona Baba na Mama wanafanya yao husogei labda uitwa ila Watoto wa dot com mmmh!! hawabanduki!!!
na Dada mkubwa na vinywele vyake mwee!! tunavyotoka najitahidi kuvibana jamani duu by the time tunarudi  ndo kama mnavyoviona...... lakini zinaota.
 Ha!ha!haaa!! mwanangu anachukia kuambiwa ana kitambi sasa sijui ilikuwaje, Baba yake kamwambia mbona pozi lako unatanguliza tumbo??? mweee!!!! mwanangu kaona isiwe shida eti anabinya lisitokeze na kamkono ki! ki! ki!
 na Dada Dogo.....
mwe ningejua ningebeba Camera ningeomba tupigwe picha ya wote mtu nne..... tatizo wazo limenijia nilivyorudi basi tena
Nisemaje zaidi yakuwambia tunawapenda mnoooo..........

KAMA SIO NEEMA YA MUNGU  MMMMMMMHHHH!!!!!

2 comments:

  1. ni kweli ni kwa Neema tu Sifa na Utukufu tunamrudishia yeye aliyeziumba Mbingu na Nchi! mimi penda nyie sana mmpendeza

    ReplyDelete
  2. this site is very nice . i will come back again later.
    Beautiful
    like it

    ReplyDelete