Pages

Ads 468x60px

Thursday, September 11, 2014

THE LOOK........

 Yaani mkiona siku nyingine napiga deshi huwa nataka kuja kuzungumza ila sasa muda kila nikiubana unakataa mwenzenu............ sometimes mpaka point zinapotea naamua kupotezea sijui shetani ndo anakuwa anakomaa nisishare au ni akili zangu zinalazimisha kumbe sio wakati wake.......

 haya basi tupate ngoja nirushe the look tusiwe kimya sanaaaa

 nahisi Camera ilikuwa na mark fulani zimereflect kwenye gauni...



spotted



NAWAPENDA

1 comments:

  1. Umependeza mama wawili! rangi nyeusi haimkatai mtu

    ReplyDelete