Pages

Ads 468x60px

Wednesday, May 21, 2014

TUNAWEZA........

 Wandugu ule mpango wakuwezeshana, kama tulivyoamua kumuwezesha Mwanamke mwenzetu ambaye kupitia wewe  ndoto yake inaweza kufikia malengo fulani. Kama nilivyosema tangu mwanzo kwa habari ya huyu Dada yawezekana hana shida kama walivyo wengine  lakini ana ndoto. Ndoto yake inashindwa kukamilika kwa sababu ya hali halisi aliyonayo ( kama alivyotueleza mwenyewe) nikaonelea ni vyema kwa atakaye guswa kupanda mbegu ( narudia tena usitoe kwa sababu Mama wawili ametoa au amesema) hakikisha  kuna namna unayoifanya na Mungu wako akuruhusu upande mbegu na ikupe amani.kwa wanaoamini swala zima la utoaji mnanielewa hapa..............

huna naamini sana kumsaidia mtu mwenye ndoto ambaye najua siku moja atajisimamia mwenyewe, huwa nafarijika sana nikikutana na mtu  ambaye hayuko vizuri sana lakini anajikokota hasa kwa habari anataka kuwa nani ( kwa maana nyingine ana ndoto)..................... wandugu hata mimi ni muhitaji kuna watu ambao huwa wanatumika kwa ajili yangu, ninapozungumzia kumsaidia mtu ni yule ambaye mimi nimeandaliwa kutumika kwa ajili yake kwa kile kidogo nilichonacho.



 Ni hivi  mdau wetu alifanikiwa kupata kiasi cha shiling 500,000  kama mbegu kuelekea bajeti yake ya million 4.   na hapa chini ndo maelezo yake  hizo ........ nimeziweka mimi kwa makusudi fulani.

WITO WANGU KWA WALE MLIONIAHIDI KUUNGANA NA YEYOTE ALIYEGUSWA PLEASE INBOX NIKUPE NAMBA YA MUHUSIKA UFANYE KURUSHA......



Habari ya leo dada natumaini umzima pamoja na familia yako.
Nashukuru Mungu mbegu inaendelea vizuri na faida niliyopata nimeona ninunue printer hii inaprint inascan na pia inatoa copy ila copy kwa biashara hii haitafaa isipokua nitatumia kwa kuprint na kuscan. hivyo bajeti ya scan mashine ishapita. Mbegu iko pale pale bado iko kwenye mzunguko kama nilivyokuambia kwamba ................................ faida ninayopata nanunua kidogo kidogo naamini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu nitakuwa na ofisi kabla ya mwaka kuisha. Nashukuru sana na mwenyezi Mungu akubariki.

Salimia familia yako. 


USED PHOTOCOPY MACHINE
                   1,000,000
COMPUTER

PRINTER

LAMINATION MACHINE

BINDING MACHINE
                   1,000,000
CUTTING MACHINE

B. CARD CUTTING MACHINE

OTHERS

STATIONARIES &OTHERS
                      500,000
REN PER YEAR
                   1,200,000
UKARABATI AND SHELFS
                      300,000
TOTAL AMOUNT
                   4,000,000

Hiyo juu ndo bujeti


faida ndo hii.

No comments:

Post a Comment