Pages

Ads 468x60px

Wednesday, September 23, 2015

TUZUNGUMZE..........


Shughulini kama kawa ha!ha!ha! Eti wadau, hivi mmegundua kila nikipost picha za mialiko nakuwa na team tofauti tofauti??? haya basi, Kiukweli sina sina team ila nimezungukwa na watu na team zao...... I treat kila mtu sawa yaani.... sina mwandani wala so called rafiki msiri. I can guarantee  when i go out there kuna watu wanaweza kuwa wamejazwa ujinga unaonihusu and sometimes they all got it wrong...... But hey! i will never ever give them my air time kuniambia au to prove them wrong or right aisee......... kuna mahali utaona tuu ile introduction km watu wanategemea more than just a simple intro, yaani walikuwa wana hamu wakuone kiuhalisia ha!ha!ha! Dont get me wrong sometime huwa wana good news ambazo wanatamani kunisikia mwenyewe but hey, i think we should respect  muda wa kusocial..... who wants to hear who is who, what she is doing,and................... jamani mi kila siku nasema facebook acha iwe facebook, mabox yaishie maboxini, yawapendwa nayo yawe yakipendwa ha!ha!ha! japo injili inatakiwa ienezwe ila hekima muhimu aise huwezi ukaenda shughulini ukakuta watu wamenogewa na Mwana ya Alikiba gafla ukawastopisha nakuanza kunena ha!ha!ha! Duu!! bwana wee...... sio mbaya kuwepo ila roho mtakatifu havami vamia ovyo kha!!we cheza mwana ila maintain ile kitu ya ndani uliyonayo maana hiyo ndo muhimu .............so km kuna umuhimu i always carry my business card au km unanihitaji kwa mambo yakwaida nitakupa my personal mobile, km uko serious tutatafutana.

Napenda kusocial baada ya mabox......... yaani humu ndani mwangu nikiwanunia huwa wananifukuza hawachelewi kuniambia kwani huna mwaliko ha!ha!ha! maana wanajua huo ndo muda wao wenyewe kufanya yao na hata nikirudi nimesahau kila kitu naanza kuwapa mastory yaliyojili ha!ha!ha!.............  thank God team zote(zilizo nyingi nisijifagilie kha!) wakiwa wanavishughuli they count on me ha!ha!ha!  ila nikigundua km nakuja  kwenye shughuli itakayokuwa  kuna kuonyeshana vidole sijui nini na nini,  au mtu lazima ujistukie kila sentesi utakayotoa kisa watu wataichukulia tofauti....... aisee huko hamnioni yaani, ntapata tuu sababu ambayo itahakikisha haijamkwanza aliyenialika basi..........Jamani achana tuu na wokovu tumezeeka sasa kha!!!  why wasting time kwenda kutafuta madrama ambayo  ulikuwa na nafasi yakuyazuia.........

 By saying this wapenzi i dont hate, yaani mi ninatatizo moja yakusahau makwazo...... kuna wakati hata nikitaka kujikumbusha why sikumbuki hata moja ha!ha!ha! Mweee nimekumbuka siku moja bwana, miaka hiyooo niliwekwa mtu kati aisee nilisutwaje sasa.....kha!!! maana wenzangu wanakumbuka A-Z mama wawili hola najitahidi kujieleza mwenzao wanielewe duuu!!! niliishia kulia mweee!! walinisondaje sasa eti najifanya kulia!!!! kikikiiii(true story)

 So kwa sababu ya mapungufu hayo niliyonayo, huwa mzuri sana wakuchukua pre caution. napenda kuwa na distance relation na watu wa dizaini fulani fulani, huwa naamini hakuna aliyemkamilifu sote tuna mapungufu, na pia kuna watu ambao its hard kuwa na meeting nao za mara kwa mara. few hours after months or year/s zinatosha just to maintain ile respect na kutokumruhusu shetani kutumia yale mapungu yenu mliyonayo................

Yaani kuna watu i must admit my heart is crying for them yaani, nawapenda mnoooo, yaani hata nikisika kuna kitu kimewapata aisee muulize Baba wawili i can even try to help @ my best  bila wao kujua.... huku najua the fact kwamba, them people hawaelewi how i feel na labda they think am one of their worse enemies.............yaani hata ikitokea tumekutana thank God i can fit and tolerate mazingira ambayo i know one of us can fake just to keep up na hayo masaa machache yaliyotulazimu tuwe pamoja, though nikirudi nyumbani huwa naumia sana why we had to do so???? mwisho wa siku Mungu ndo anaembadilisha mtu its either mimi mwenyewe ndio tatizo,mwenzangu au sote. na Binadamu tunatofauti.

hee eti leo nimeandika hahahaa hata sikutegemea eti imebidi nibadilishe hata tittle iwe tuzungumze sasa.

  onjeni tuu km kawa wale wa facebook mshaona tukio eti eeh?



unywele unachachamaa tuu.... no makorombwezo wala nini . Ni kuoga, paka mafuta yakupikia chana zikiwa mbichi mbichi zikiwa kavu zinaumaa so km na haraka nachukua kitaulo kibichi kidogo navuruga zinakuwa km dreads ready to go.



Nawapenda

1 comments: