Pages

Ads 468x60px

Thursday, April 25, 2013

GIRLS DAY

Girls na shughuli za hapa na pale............ tumemaliza mizunguko ya siku nikaamua kumzungusha Mama mjinitukapita eneo jipya heheheheeee mnyalu mie nikapatamanije??????? viwanja vinauzwa mijengo inashushwa watu na pesa zao bwana..... mpendwa mie nikaanza kuiona NDOTO kimoyoni nikajisemea EWE MUNGU ULIENIPA NYUMBA YA KUISHI UNAO UWEZO WAKUNIPA NYUMBA YA INVESTMENT PIA.......nikarudi kwenye gari vuta Camera yangu haya wanangu tupige picha huku kimoyoni na yangu simnajua tumeambiwa tutamke neno????? tuiandike ndoto na tuikumbushe???? kuna watu wananielewa hapa au sio??? ndoto zingine zinaanzaga hivi hivi......unaona, unatamani,unaliweka mezani lijadiliwe,mnapatana nakupigia goti ili kupata kibali then mnalifanyia kazi........hahahaa!!!! km naota vile mama wawili mimi.......EVERYTHING IS POSSIBLE WITH GOD
hapo chacha!!!
mpiga picha wetu waleo mmmh!!! vivuli vya mikono vyake navyo ametaka vitokeee hahahahaaa!!!!
girls
mapozi yetu sasa

hatujielewe Dady angekuwepo angeturudisha kwenye mstari

upendo wa Bwana watuzunguka ...........nahisi huo ndo ulikuwa wimbo hapo
kazi kweli kweli
 story nyingine hii sasa nimechekaje nilivyomwambia Bibi nikupige picha akasema  aaah! bwana ungeniambia km leo utanipiga picha nisingevaa nguo hizi sinilipigia juzi( in my mum voice tena ile yakuchekesha )hahahaaaa!!! akamalizia haya nipige kwenye gari na uhakikishe picha zangu zote umenipa nikawaonyesha Tanzania duuuuu!!! ntammiss sana my mumy aiseee tunachekajeeee???? na hivyo soon ataondoka  mmmh!!!
mama yake mama wawili Binti wa zamani
anakwambia raha ya hili gari ujae sasa we mwanangu sijui upewe nini jamani unenepe mi unaniuzi kweli kwi kwi! kwi!

hili ndo pozi lake akiwa amekuacha ucheke umalize akupe jingine feel so good nikiwa na my mumy...

2 comments:

  1. hahaha mama wawili nakuona kwenye vioo hehehe, salimia mama yetu.

    ReplyDelete
  2. SO happy for u darlin u ar not fake, i love ur life.

    ReplyDelete