Pages

Ads 468x60px

Friday, June 5, 2015

ONJA................

He wandugu hii wiki mbona imekimbia hivi??? kha!! binafsi hata sijaielewa kabisa ha!ha!ha! kwanza humu ndani niliwasahau kabisa yaani  mwee.............. haya onjeni hizi.... si niliwambia nilikuwa nakajievent halafu kale kapepo kakanifanya nisibebe Camera shughulini  ha!ha!ha!ha! haya hizi nimefanya  kurushiwa tuu nawalioweza kutuspot ha!ha!ha!   ila baadae nilijilaumu aisee maamuzi hayakuwa mazuri kwa mpenda picha kutokubeba Camera  kwenye tukio km hili kweli nilijikosea  aiseee anyway..............

B&us


Shoga yake, Dada yake mie nae akajiongeza........

na warembo wangu..........

 Tumenyooka  hapana chezea ha!ha!ha!mpendwa hatua zilikua kubwa aisee sinikachana gauni ha!ha!ha! (joke)

Boys  nao walikuwepo aisee si mchezo Camera tuu ndo haikuwatendea haki lakini duuu!!!

 Haya basi muwe na weekend njema

1 comments: