Pages

Ads 468x60px

Tuesday, October 30, 2012

WAWILI'S TYM


Nasikitika siruhusiwi kubeba Camera wala kupiga picha za wanangu........ningewaringishiaje ????? maana washakuwa chura kwa mda wa wiki mbili hasa huyo Careen hahahaaaaaa.....Mama mtu ukiniona nje ninavyotapatapa nahisi km wanazama mweeeee....mtoto sio muoga hata kidogo..... nilimuomba mwalimu niwachukue hapo tu.....kwingine nisingeweza coz kuna watu tofauti .Hizo ndo Sheria za nchi za watu, haturuhusiwi kuchukua picha bila idhini ya muhusika.......

baada ya swimming .............jamani eeeh kithungu sio lugha yangu hahahaaaaa maana najua kinanaiii lazima  wacomment  kwi kwi kwi




No comments:

Post a Comment