Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 23, 2016

NIPOGO.............

 Eti nani huyu, muuza chai wenuuuu...........mtajiju mwaka mpya na mambo mapya bwana ha!ha!ha!ha! mi nazidi kunoga tuu yaani......... ila sema hicho kifurushi huko kichwani nipo katikati niendelee nacho kwa kukikata kidogo au ndo niweke ka chemical just for a change....... 
kukenua vepe sasa ha!ha!ha!


msichoke bwana kuzurura nyie fanyeni km kijiwe chakurefresh ukikutana nacho haya usipokutana nacho nacho poa haa!ha!ha!

Nawapenda

No comments:

Post a Comment