Pages

Ads 468x60px

Thursday, December 18, 2014

MAMA WAWILI.............

Ee bwana ule mpango wa gym duu una wenyewe aisee!!! masharti yamekuwa magumu  kwanza muda nimejikuta  busy namabox,  trainer wangu naona ameona anipotezee tuu ha!ha!ha! nasahauje sasa hizo  classes?????chezea bills za ulaya wewe???  so najiendea once a week sometimes hata week mbili just for fun, maana  yale malengo yakina minaji figure yamegonga mwamba duuu!!! hivi kumbe sio rahisi eeh????  mbaya zaidi imekula kwangu sinilifanya nao mkataba wa mwaka? so every week wao wanajichukulia hela yao vinginevyo ningetangaza ku resign.............. ujue gym wito!!!! hizo hasira sasa nikiingia gym nataka kushika kila kitu hata ambavyo nimeambiwa havinihusu  mi navuruga tuu nikimuona mtu nacheck move zake akitoka tuu navamia chombo Baba wawili ananichekaje sasa Ha!ha!ha!ha!

tuhamie kwenye magauni marefu eti eeh???

Cristabell ndo camera wetu wa leo anakwambia mumy dont tell me what to do when am taking you a photo(in her voice)


Jamani mwenzenu jirani na mti wake unanifanyiaje fujo eneo la pool yangu???  we ngoja ntaenda kumgongea (sorry ze mti is ze kudondorisharingi ze uchafu Ha! ha!ha! in my Kingas accent) maana  nina kajipool party coming soon, nahitaji kupafanyia usafi halafu hata simjui.

Nawapenda

2 comments: