Pages

Ads 468x60px

Friday, April 15, 2016

DADA KUBWA NA UBORA WAKE.............

Mnuno vepe ha!ha!ha! showing mum business...........

he!he!he! she is only 7yrs old jamani ha!ha!ha! na hizi nywele ndo zimemfanye awe mkubwaaaaaa  najuta........ lengo ilikuwa Bad hair day shuleni............ sasa Mama mtu ndo nikaona ngoja nimtengeneze hivi halafu nimfunge mafundo fundo ha!ha!ha! lengo la siku lilitimia ila baada ya hapo bi dada kagoma kabisa kuzitoa ha!ha!ha!............ nimeamua nimpotezee for sometime 

 Blame my Mum (in her voice) ha!ha!ha!

ila jamani one thing ninachojitahidi kuwafundisha watoto wangu ni kuwa happy.......
yaani huwa nawambia huwezi ukatafuta furaha mahali popote km hautakifurahia kile ulichonacho na kukitumia kwa moyo wa shukrani.............nafikiri huu ndio msingi mkubwa wa nyumba yangu pesa zinatafutwa ila haziwezi kukupa furaha km akili yako yote itafocus huko.......... yaani you wont have enough............. lakini ukitanguliza furaha ndani yako kile utakachokipata utajua kuiridhisha furaha yako............. mitihani ya maisha ipo na huwezi kuizuia aiseee........... ila ukiamua kuitafuta furaha aisee yaani wewe  ni no stress zone.........Kila kitu kinaanza na mind set wapendwa.............

 Hapa mimi simo aisee ha!ha!ha! ila nilimuuliza ni nini maana na km hujui maana why doing ha!ha!ha! old school Mum

Tunawapenda

2 comments:

  1. Kazuri sana,na kana figure nzuri,she is mwaaaaaa

    ReplyDelete
  2. Literally careen is a mini you!! You two have quiet alot in common!!

    ReplyDelete