binti yangu huyo anakuwa  jamani........
 mdhungu yuleee!! nimekumbuka enzi hizo tulikuwa tukiwaona wee utafikiri Mungu ameshuka  hahahaaaa ama kweli ni neema! !
michezo na mwanangu mweee!
mumy am here
habari ndo hii
hapo hata chakula ataona unamchelewesha
sifa na utukufu ni Mungu wangu aliniwezesha kuwa mama wa wawili hawa........ mweeeeee!!!
happy kids
ukimuona huyu best anachangamkia mchezo jua umeeleweka 
hapo chacha!!
showing mama some love......
the people i treasure with all my heart...........
dad's kids
Oyeah!
am blessed
mchana wetu uliishia hivi........




No comments:
Post a Comment