Pages

Ads 468x60px

Wednesday, April 13, 2016

TUMEKUZA..............

Wapendwa humu ndani  hope mko poua yaani........... Ma wawili huku nyuma ya pazia full kumshukuru Mungu yaani...... aiseee  mwanenu ndo tayari ana miaka sita.... Duuu yaani kama jana kwa kweli Jina la Bwana libarikiwe halafu unajua nini naanza kuona uzee unagonga hodi aisee....... Imagine mtu akiniuliza namwambia my last born is 6yrs old ha!ha!ha!ha!
 Nyie Bwana mnisaidiage tuu kumshukuru Mungu yaani duu.... Ushawahi kuingia mbele za Mungu yaani kuomba huwezi, kushukuru huwezi yaani machozi tuu yanakutoka halafu huelewi why??? basi hili nalo mojawapo...............  Shuhuda zingine hazielezeki aiseee.


 nisiwachoshe mapicha mengi ilikuwa kumpiga moja ili nimuwish ila duu aliishia kunipa mapozi tofauti tofauti ambayo kila moja kwangu lina maana mnooo..........

 The joy of the Lord is my strength..........

 yaani nilivyokuwa nampiga picha huku akinipa mapozi na maongezi fulani duuu!!! priceless

  oh! my Cristabell!!!!!
 nahisi najua kila pozi lake anawaza nini au anamaanisha nini  aisee.......





 Amazing Grace, how sweet................  ...

Nawapenda

No comments:

Post a Comment