Pages

Ads 468x60px

Friday, April 8, 2016

LATE POST........


Nimechoka kuwaomba msamaha kuingia humu......... yaani nyie mnisamehage tuu, ratiba yangu imekuwa tite mnoo aisee ..... Ila naamini ntarudi kuna mambo ngoja yakae sawa siwezi kuwapromise ni lini  ila tutarudi tena kwa style  nzuri mnooo........Hatufunguki sana siku hizi maana duu shetani nae ana style nyingi zakupata habari ha!ha!ha! na humu anaingiaga ujue kikikikiii!! Haimaanishi tunamuogopa ila sema nini ??hatupendi usumbufu bwana kipindi tunamsubiri Mungu amalize kazi yake................Ila aisee mwacheni Mungu aitwe Mungu.......

Je umewahi kuwaza why people wana maisha fulani lakini kwa hesabu zako za kichwani unaamini they deserve better yaani ..........then Mungu anaamua kukufulia  whats is behind the scene unabaki kutoa macho????



 Je umewahi kuona jambo ambalo wewe unahisi Mungu atamtumia fulani  for some reasons Mungu akakwambia mawazo yangu si yako, usinifundishe kazi wala usinichagulie nani atumike ha!ha!ha! am more than that Mwanangu.............. kaa kwenye mstari............ sio rahisi kujua nani atumike hasa ukiwa muhitaji ila, utajua nani ametumika mara baada ya jambo kufanyika.........Aiseee Namuogopa Mungu. 

 Ama imewahi kukukuta  ukidhani huu ndio utukufu ninao uendea kumbe!, Bwana kakuandalia utukufu mkubwa zaidi lakini kupitia ule utukufu ulioutazamia ndipo Bwana akakufunulia yale ya sirini???

Ninachotaka kusisitiza weka tumaini lako kwa Bwana, usitishwe na hekima  au wasomi wa dunia........ halafu ujue nini yani usipigane nao wala kuweka chuki ........wapende like never before ha!ha!ha! maana kupitia wao labda  Mungu asingekufungua halafu you know what?? you loose nothing yaani...........Huwa siamini eti kwa sababu ya fulani ndio imeshindika labda hukukaa eneo lako kiuaminifu......Mungu hafundishwi kazi aiseee na zaidi ya yote ni Mwaminifu.

Kwani hivi unafikiri Yesu hakujua nani atakuwa msaliti ha!ha!ha! ngoja nikwambia basi hata shetani nae alikuwa malaika mzuriii wa Mungu............ Mwisho wa siku kusudi lililokusudiwa  lazima litimie yaani nikimaanisha kusudu la Mungu sio la mwanadamu.......


 Naongea sana haya ha!ha!ha!........ 

Hii nayo ilikuwa siku wapenzi kama kawa nilijikuta na shughulika ha!ha!ha!

 Mmoja wa hao hapo niliyopiga nao picha namwitaga my Dada yaani  ha!ha!ha! kwenye vishughuli lazima aniite  sasa hii alikuwa na rafiki yake ambaye anakuja kumtembelea. Ambaye anamtoto alifunga mwaka akiwa kwenye ndege kuja kwenye kijiji chetu kumtembelea my Dada....... sasa Mama mtu akamuomba rafiki yake huyo anaemtembelea hapo chini, amuandalie japo kikeki akifika akate mtoto wake.....
 My Dada kama  kawa  akanifuata dizaini kama kumshauri au kuniambia km naweza ku team kiana fulani........ Yes anajua am a busy Mama......

 Then kimoyoni siku inayofuata ni anniversary yangu ....... Dogo nimesha team 8yrs hahahaaaa Mungu nimwaminifu aiseee....

 Basi sasa sikuwa na ratiba yoyote kutokana na Baba watoto yuko busy fulani...... sikutaka kumchosha  kimoyoni nikajisemea , hapa ndo muda wakujibebea mibaraka yangu kupitia huyu mtoto....... kupitia huyu mtoto nitamshukuru Mungu .......... ntafanya ntakachoweza bila kuwambia wahusika kwa nini nimeamua kulivalia njuga..... coz wao hawakuta kufanya sanaaa km nilivyo sema ilikuwa nikukata keki ila kwa namna gani ndo mama  shughuli nikatoka na idea ha!ha!ha!

 Siwajui,sijawahi kuwaona yaani ntawaonea kwenye hiyo event, nitawasuprise tuu wazazi ambao naamini kuna kitu kitatendeka ndani yao kwa ajili ya kumbukumbu ya mtoto wao ambao sidhani km hata walijua itakuwa hivyo........

  


 hichi ndicho nilichoishia kufanya i know labda in my life nimejeruhi sana mioyo ya watu......... lakini pia nimeweza kuweka tabasamu kwa mtu japo mmoja.......

Nimeshafuatwa sana kwenye hili eneo la kupamba na kuwapiga picha kwenye shughuli km hizi , huwa nawambia hivi sio kila huduma iliyopo ndani yako inatakiwa ikupe hela..... Huduma nyingine umepewa ili ufanye kwa mapenzi tuu...... hivi vitu huwa navifanya kwa kupenda aisee........ yaaani i love  doing it ......kunakuwaga na amani fulani unavyofanya yaani hasa pale bajeti inapokuwa hairusu lakini unahakikisha umefanya duuu!!! Amani yake hailezeki aiseee..

sisi hapa wakupendezaga tuu yaani ha!ha!ha!

sikutumia Camera yangu, nilimuona Baba mtu ana kamera yake hivyo  niliamini watakuwa na kumbukumbu yakutosha hizi nilitumia simu. na nisingependa kuwaweka humu coz siwajui as i said yaani tulimalizana usiku ule.

Nawapenda

1 comments: