Pages

Ads 468x60px

Wednesday, May 23, 2018

NGUVU YA NDOTO........


Nilichojifunza kwenye maisha kuna nguvu ya ndoto ndani ya muhusika........ wakati wengine wanaiangalia ndoto yako kwa jicho la pembeni wewe kwako huwa inajicho la kipekee....... Wakati mwingine huwa haikupi nafasi ya wewe kuielezea ili ieleweke kwa wengine maana  haitegemei uelewe wa mtu wa pembeni..... Ndoto wakati mwingine inausiri mkubwa sana lakini huwa inatoa nafasi kubwa muhusika kupenyeza, wakati mwingine mipenyo unayopitia huelewi kwa wakati huo ila kuna muda itakupa nafasi yakuelewa safari yake ni kukufikisha ndotoni.......


 Wakati mwingine unaweza ukahisi ndoto hiyo haipo tena maana ulishaikatia tamaa kinachonishangaza ni kwamba ndoto huwa haipotei usipoonyesha ushirikiano leo huwa inatengeneza mazingira ya wewe kuna na muhemko nao kwa wakati.

Ninachoweza kusema ndoto ni lazima ikamilike na mkamilishani ni muotaji ndoto japo kuna mazingira ambayo kuna watu lazima watumike katika kuikamilisha ndoto yako.Sifa yake kubwa huwa naipenda muda wa ukamilifu unapokuja utendaji wako huwa unakuwa tayari, yaani huwa kama umekaa mkao wakula hivi , huna papara kama mwanzo kitu ambacho kinakusaidia utendaji wako uwe makini na wakuzingatia nini likupasalo kufanya....



 kama hunielewi kamsome Yusufu na ndoto yake.....

 Tuendelee na mapicha

 Muotaji huwa kwenye mazingira yasiyokuwa na ushirikiano kabisa 



asiporuhusu mwiingiliano basi huwa jicho lake lakipekee juu ya ile ndoto

 wakati wengine wanaona haiwezekani yeye anatabasam kwa unyenyekevu


Nawapenda

Saturday, May 19, 2018

TUPOGO.......

Wapendwa nimebanwa kidogo ... Tuna ugeni wa Billy Graham ministry ambapo mjukuu wake Willy Graham amekuja kutuhudumia..... basi sasa na sie Mungu katupa kibali chakuwa macounsellor wa event basi  ndo kukimbizana tuu.... topic yetu ya Mama sijaipotezea ntaipatia muda nivumilieni.


 Baba na Mama wa...............


 Tukishughulishwa tunajuaga kushughulika  ha!ha!ha!

 ndo nini sasa Ha!ha!ha!

 Haya tunawapenda

Sunday, May 13, 2018

MOTHER'S DAY TREAT


Kuna kitu chakiubunifu hapo lazima ujifunze eti eeh! binafsi nimependa combinations za colour na tray...... naamini aliyetengeneza hii gift aliangalia sana colour combination........... anyway! nimeshamjua aliyemtengenezea na alijua wapi atakaponikamatia.... i love everything aisee.

 Kaka zangu kama mnanisoma huko please vitu kama hivi means a lot kwa mwanamke aisee....... sometimes hata havihitaji bajeti ya hivyo  yaani......... Please do kwa mawifi zangu please. na ahsante kwa kufanya i know  how much hivi vitu vidogo vidogo vinavyoleta maana kwenye maisha ya mwanamke.


 Kwenye suala la shopping yes i trust him..... kuanzia mimi, wanae na hata grocery shopping ni mzuri mnooo...... am thankful


Zawadi ya mwangu Cristabell nimejieleza kwenye clip ila sema kwenye picha nimechanganya kikombe ni cha Careen

Big sister na ujumbe wake humo.

Ahsante YESU

HAPPY MOTHER'S DAY


Proud Mama wawili

kununa sijaacha jomoniii ha!ha!ha


kamuonekano ka church



Saturday, May 12, 2018

TUMERUDI

Nimewamiss mnoo nawapenda mnoo........ nimejitetea sana pale chini kwenye videoHa!ha!ha! mnisamehe natusamehane.

 Haya hii nayo ni baby shower, Mama shughuli kama mnavyonijua Ha!ha!ha!  Its a boy....... kwa vile tulifanyia nje kwenye garden basi tukaona theme  green na blue lakini ili isiwe too much then tukaona soft greens na soft blues ziwe dress code............Basi sasa Mama shughuli ndo nikatoka kihivi ukizingatia mimi ndo mama shughuli kila kona nipo basi tena nikawa mwepesi ila viatu ndo nilitoa ha!ha!ha!
Jamani kwani wale wakipilipili wezangu mliishia wapi maana siwaoni tena Ha!ha!ha! mwenzenu kamchicha kamekubali


Yes wapenzi am back.....

 Deco
nimewafutafuta msiwaone wenyewe my idea muone hizo soft colours
Nawapenda!