Pages

Ads 468x60px

Monday, September 29, 2014

ONESIES DAY.....................

a.k.a mnyelamumo  kama wewe wakusini huko unalielewa eti eeh??? ha! ha! ha! ha! siku yetu yakivivu vivu nimichezo tuu ndani ya nyumba na left over kwenye friji ..............

Duuu ila jamani watoto wana pumzi mwee!!! wananipigishaje kwata yaani huu mwili unahitaji mazoezi aisee sina pumzi!!!
 Haya ndo mniambie naenda kujiandikisha gym  maana ni hatari nachoka haraka mnoooo.......... haya  ndo mniambie mazoezi gani nikafanye ya afya  nimesma ya afya  masharti hutu tunyama tubaki kama tulivyo au tuongezeke kidoooogo!!!!Sasa tukiisha itakuwaje???? mweee!!!

Wanangu jamani wakimuona Mama yao na hili gwanda wanafurahije na wao mbio kwenda kuvaa maana wanajua its Mumy & them time...........



 bora mradi tuu siku iendee

 hayo mapaint yao walitoka nayo kwenye birthday jana tukiingia kuoga hata hatushughuiki nayo tunajimwagia tuu maji kwi! kwi! kwi!




priceless.............

Tunawapenda

No comments:

Post a Comment