Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 28, 2012

KISA'S BBY SHOWER

nilikuwa na lakusema siku nyingiiii..... leo mbona Kisa umenifungua mdomo na kuponya maumivu yangu mhhhh!!!! hivi jamani huwa kuna haja ya yale mambo yenu Its a .......... na colour kibao za theme????? sielewi kabisa........... tamaduni zingine sionagi umuhimu wa kuiga.................sijui ndo ushamba wangu au laa, kinachonishangaza ni hawa  tunaodhani tunawaiga wengi wao hata hawaelewi  na hawaoni km ni busara ki hivyo km kina sie tunavyoshoboka........jamani hebu check hii party....... classic na kimaadili kuliko zile zote nilizowahi kuziona Tz........
Hongereni Na Mungu akazidi kuwapigania muda uliobaki na atakaezaliwa akafanyike baraka kwenu na mataifa yote yakatambuwe kuwa amebarikiwa
msafiii
nilijua huonekani labda utakuwa mchafu mchafu hata wanja umesahau kumbe mtoto alielelewa na kufundwa nakufundishika zaidi ya yote hofu ya Mungu it doesnt matter who you hang with u will still be Kisa



aaaaawwwwww!!!!!





nimesema mtakaosema nimejigongagonga na kujisogeza mkasome namba nakupiga mswaki then  question urself why do i have to????na kwa wale mabest msisite kunialika jamani ntakuja na ntashughulikaje huu ni mtazamo wangu tu hauzui wewe kufanya unachotaka na wala wewe hunifanyi mimi nisiseme.......Hahahahaaaa nawapendaje mabest

No comments:

Post a Comment