Pages

Ads 468x60px

Sunday, March 10, 2013

CHARITY GROUP WATEMBELEA KITUO CHA WAZEE KIGAMBONI

NIKIKUNDI CHA WACHACHE KILICHOUNDWA KWA AJILI YA KUSAIDIA WATU WASIOJIWEZA..............KUWATEMBELEA NA KUWATIA MOYO NA KUCHANGISHANA PESA PALE INAPOBIDI NA KUWEZEKANA KWA AJILI YA MAHITAJI YAWALENGWA....
KUTOKA KUSHOTO ROSE MWANZILISHI WA KUNDI NA BAADHI YA WANAKUNDI
WAKIWA  NABAADHI YA WAZEE NA WATOTO WALIOPO KITUONI HAPO 


KWA PAMOJA TUNAWEZA

Friday, March 8, 2013

HAPPY INTERNATIONAL WOMEN'S DAY


Siku kama hizi zinatupa wakati mnzuri wakujielewa na kujitambua...........kama mama wawili namshukuru Mungu kwa kunifanya mimi km mimi, najivunia kuitwa mwanamke kwa nafasi ya MKE,MAMA NA DADA (FRIEND) hahahaaaa!!!

MKE

naipenda sana hii nafasi,tangu nilipoolewa mtu akiniita Mrs,muke ya Slay,Rose wa Mbeyela aaaaaawwwww!!!! najisikiaje burudani, hii safari naipenda sana najihisi nimependelewa, na ashukuruwe huyu Mungu alimuumba mume wa ubavu wangu...... changamoto zipo nyingi tuu lakini neema ya nafasi hii yakuitwa mke imenitetea sana sana kwi kwi kwi! wale mnaoniemail ni wape siri yangu ya ndoa bila shaka hapa mnanipata sana tuuu. MWANAKE MPUMBAVU HUBOMOA NDOA YAKE BALI MWANAMKE MWENYE AKIRI HUPALILIA MAGUGU YASIOTE ( Jamani hako ka msimo kangu ka mwisho Biblia haijasema magugu)  hakuna aliye mkamilifu wandugu ila nikukomaa tuu mpaka kieleweke. najiamini kama mke halali,najikubali sana kupita maelezo hata siku moja huwa sijifananishi na mke mwingine, naamini nafasi na majukumu niliyonayo km mke ni yangu na hakunaga mwingine.( kwa maana nyingine kile ambacho mume wangu anataka nifanye kama mke nitafanya bila kuangalia wake wengine wanafanyaje, alitambua maana kamili yakunifanya kuwa mke wake na majukumu ambayo alijua kama mme anahitaji mke kwa nafasi ya uhitaji........ na kwa sababu ananitambua kama mimi ni mke wake (ubavu) hawezi nishurutisha nikafanya nje na nafasi mke maumivu yatamrudia mwenyewe.( Mwili ni mmoja tofauti ni ubavu tuu)

MAMA
naibarikiwe ile siku niliyoanza kuitwa mama wa Careen na  Cristabell............sijui nizungumziaje hii maana ntaongea mengi meingi nakuishia kulia mchozi ya furaha.Nafurahia kuwaona wanangu siku hadi siku, jamani hapo juzi kati niliwaacha na bibi yako kwa siku kadhaa nahisi nilikuwa naumwa mawazo........kwa ujumla hawa wawili wangu hawa duuuuuu!!!!!

DADA (FRIEND)
napenda marafiki huwa sina very very very close friend (BBF) zaidi ya big boss( Slay) mimi ni mtu wa watu, napenda vishughuli vinavyohusu watu bora mradi tu tufurahi kwa pamoja,tulie na kufutana machozi pamoja. tunie na kukusudia pamoja..............nachukia rafiki mnafiki to the maximum......... napenda tunaposema A wote tumaanishe B nikikugundua unanionyesha tuko pamoja kumbe sio nakupotezea faster....... na ndio maana siku hizi huwa najitahidi kidogo kuangalia muelekeo maana hii sehemu ngumu sana aseee!!! nilikuwa naingia kichwa kichwa mwisho wasiku  Baba wawili alikuwa anaishia kunifuta machozi wakati wenyewe wahusika wanakula bata hahahaaaa!!!  am sorry to say this  huyu ndo mama wawili.........
 HAPPY WOMEN'S DAY

Thursday, March 7, 2013

TUZUNGUMZE

 KAMA BWANA ANGESIMAMA NA KUHESABU MAOVU YETU JE NI NANI ANGESIMAMA............ HAKUNA ALITE MKAMILIFU CHINI YA JUA SISI SOTE TUMEPUNGUKIWA ILA NEEMA YA MUNGU WETU INATUFUNIKA.

 katika pita pita zangu nimekutana na hii nimeipenda na imenigusa..... SHILA UMENIINUA SANA KWA HABARI YAKUOMBA MSAMAHA......... kitendo chakuamua  kujitambua na kujikosoa   tena kuweka wazi yeyote asome  i thumb up yo mamiii....... nazidi kujifunza jinsi gani neno SAMAHANI linavyoweza kukupa amani, hii nimeliona hata katika safari yangu ya maisha  haijalishi yule muhusika yuko tayari kukusamehe au la lakini wewe binafsi ukijitambua na kuomba msamaha neno MSAMAHA linakubadilisha kabisa.
kitu kingine nilichojifunza hapa katika kusawazisha mambo usitake kutafuta tafuta ilikuwaje, sijui nani alihusika,au namna yoyote yakutaka kujilinda kupunguza makali ya tatizo...... na usimpe nafasi muhusika aanze kukutafuta tafuta umueleza a-z kwa nini ulimkosea. ( TUNAJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA)  
ufuatao ni barua wazi kutoka kwa LOUISA SHEILA FRISCH inayoomba msamaha...

Kama binaadam hakuna aliyesahihi ,kila mtu anamapungufu yake, Mungu utumia njia zake nyingi kutufunza vitu na vitu vingine there not just vitu ambavyo tunaweza vielewa ktk upeo wakibinaadam,.nnachoamini ni moja ya changamoto tu na moja ya somo ya mimi kujifunza.

Kilichotokea wiki hii ni makosa yangu mimi Shilla I ll take all the blame, nawale nliowatukana hapa nakumention majina Yao au kwa wale waliokuwa wanajishuku labda nawaongelea wao pia naomba mnisamehe,pia nakwawale mliosoma labda mkawachukulia kivingine kutokana na maneno yangu plz plz naomba tu mjue nikazi ya shetani na Hawa watu hawako hivyo maneno yangu yasiwe chanzo ya nyinyi kuwaona vinginevyo, naomba mchukulie nimoja ya mapungufu nliyonayo.

Kwako kaka Joe na mkeo Vicky na watoto wenu nimewakosea sana naomba mnisamehe n najuwa haitakuwa that easy kunisamehe bt I believe Mwenyezi Mungu atawapa wepesi ktk hili.
Nakwawale wote wengine marafiki zangu wapendwa ndugu marafiki mnisamehe kwa nj...ia yoyote ile niliowakosea kujua ama kutokujua.
Pia kwa wazazi wangu, n to those who trully luved me na ambao wananijuwa inside out nawanaelewa ninikilichotokea pia nisameheni kwa kuwafedhehesha,na 

Pia napenda kuwa shukuru wale dada zangu nawale ambao waliojitolea kuwa na mimi bega kwa bega kunijali kwa kuniulizia ambao walibeba hili tatizo langu Kama la kwao hawakulala usiku mchana during dis week kutaka kujua kma niko ok sina chakuwalipa Bali mbarikiwe na Mwenyezi Mungu awarudushie maradufu,nnachohamini ninjia moja wapo Mungu ametumia nijifunze/tujifunze ansvyoweza yeye, plz after this ningeomba nisipigiwe sim kuulizwa swali ilikuwaje au nani kakwambia/or what really happen sitopenda kujibumaswali kma hayo n let by gone be by gone coz i belive kutakakchimba chimba vitu ni kuzidi kumpa shetani nafasi na attention so nisingependa kumuingiza mtu mwingine matatizoni coz naomba tuelewe jinsi Mungu alivyonanguvu, hata shetani ananguvu pia au nisingependa kutumiwa Kama chombo ya kwenda kuvuruga mtu mwingine kisa ni rafiki yangu au alikuwa na urafiki na adui zangu au adui zake ni marafiki zangu, therefore namwachia Mungu huu ni msalaba wangu naomba niubebe mwenyewe bt mbele ya Mwenyezi Mungu nimekosa there 4 sinakinyongo na mtu na ninawapenda wote, mbarikiwe sana.

NIMEKUPENDA BUREEEE MY DEAR

MSISITE KUMTEMBELEA DUKANI KWAKE LOCATED @ MASAKI DAR ES SALAAM TANZANIA AU MPIGIE SIMU +255715704974

ANGALIZO
SHILA KAMA YEYE HAJANITUMA NIPOST HII HAPA BEYOU,  MIMI MWENYEWE  MAMA WAWILI NIMEWASHWA, NIMEIPENDA BAADA YAKUONA AMEPOST KWENYE BLOG FULANI......KIZURI KULA NA WENZIO HAHAHAHAAA!!!! KWA LOLOTE NITUHUMIWE MIMI  HUMU HALAFU NTAWAOMBA MSAMAHA BAADA YA KUJIFUNZA KWI KWI KWI!

Wednesday, March 6, 2013

WEDNESDAY LOOK


FRIDA ON HER VACATION
LOOKING AAAWWWWT, I LOVE THEM COLOURS.......

LUGHA MGONGANO

Huyu dada ni nourma  kipaji kimelala hapa duuu.....

Monday, March 4, 2013

CHECK OUT AFRICAN LADIES..........

Here are some Tanzanian women meeeiiiin !!! they are so fine , gorgeous,beautiful,stylish,..........in a green carpet


The blogger and organiser of the event WOMEN CELEBRATION ( Shamimu Mwasha a.k.a ZEZE)  go woman gooo........ i see you somewhere in the next..................


 jamani mafundi nguo i need hivi visuruali kwa kweli........

 aaawwwww!!!
am in love with your dress Hawa sasa sijui mwili unachangia au vipi????? nakuona my sis. Fani looking fab.as always


i missed the event......... 
thanks m.p blog for the snap............

Sunday, March 3, 2013

WASH OUT JEANS IN STYLE

  Check out my sunday look..........in regards to your email my beautiful peeps, this is what i will be doing @list once or twice  a week  right!!!!!

mama wawili and only muke ya Slay

i love me..... sasa watu wangu wa ukweli humu ndani tutaanza kuchanganya kiswangishi kidogo kuna watu wananiemail hatuwatendei haki hapo chacha mkinga mie mbele kwa mbele hahahaaaa!!!ila kwenye topic yatuzungumze watanisamehe kidogo ile raha yake lugha asilia bwana ndo inanoga, halafu ndo mambo yakuumbuana ukubwani khaaa!!!na mambo yakukaa nadictionary pembeni nourma....kwi kwi kwi!
the nail polish was just aaawwww!!!
o yeah!!
thanks God for myself........

love yo......

Friday, March 1, 2013

MUJINI KUMEKUCHA

RAHA YA PESA UJUE KUITUMIA................SILVER BOUTIQUE NDIO HABARI YA MUJINI, HAWABAHATISHI, NI WAZOEFU NA WAPO KWA AJILI YA ILE KITU WANASEMA MTEJA NI MFALME...................... PICHA ZINAJIELEZA MZIGO HUO NI NEW ARRIVAL.










WANAPATIKANA  OPP.AZAM TAKE AWAY/JAMUHURI ST.NEAR BENJAMEN MKAPA BUILDING WATWANGIE NO. +255 756 608383 OR +255 713 608383

Thursday, February 28, 2013

FLASHBACK 2007

Leo pita pita zangu sinimekutana nazo......... nimekumbuka mbaaaali sana enzi za mwalimu hahahahahaaaa!!!!! japo kuwa tunabeba mabox kwa sasa one day Yes bwana.......... haviozi hivi lazima kitaeleweka kwi! kwi! kwi



some of my family.......... Goti na mie mtoto wa mkulima..... am so proud of my self


 Baba yangu waki roho Ubarikiwe sana Baba kazi yako si Bure kwa kweli umetumika sana katika safari yangu na ashukuriwe Mungu kwa kutuinulia mtumishi aliyekubali kutumika........ wapi ma mc wangu mnaikumbuka hiyo.......... mweeeee

alichezaje bibi yao Careen & Cristabell.......... wapi  mzee wa single button mwe sijui hata km anaikumbuka hiii....... watu tumetoka mbali bwana

this is for you bro SASALI

Wednesday, February 27, 2013

LISA'S BIRTHDAY DINNER

Poor girlfriend , she had no idea of all these........all she knew was coming to my house just for a visit hahahahahaaaa!!!! we love you Lisa ............

gorgeous couple ( Lisa & Beny)
she always wear her smile no matter what............... super and very strong lady

mama wawili did it yeeeeh!!!!do not hesitate to contact me for any fuctions...........Birthday, wedding na mengineyo kwi kwi kwi!!!!
we have one thing in common with this lady........ guess what??????? THE FOOD
US
with Baba wawili....
Go girl   am behind you hahahahaaa!!!
happy people

hapo chacha.......
the only wife
girls you made it thank you so much our bby had a fab. time .read this


Bibi nae alikuwepo akishangaa tuu shughuli inaendaje

mtu na mama yake