Pages

Ads 468x60px

Thursday, October 29, 2015

TBT...........


Jamani wamtangaze basi watu mambo yaendelee khaa!! poleni ndugu zangu inaogopesha lakini Mungu awe  yupo nanyi............

 haya hii nayo ilikuwa mualiko mwenye shughuli mwenyewe ndo huyo  my shoga huu akiwepo shughulini huwa narinagaje maana tunakitwanga kiswahili ha!ha!ha!  ye mwenzangu mkeyiiii huwa tunagongana sana kwenye vishughuli  ila this time ye ndo aliyetushughulisha.......
 hatua zilizidi wapendwa gauni likapasuka ha!ha!ha! danganya toto





 Maombi yangu  amani itawale tumalize salama mipango iendelee.....

 nawapenda

Monday, October 19, 2015

ONJENI

 Hata kama shughuli haiwahusu  uvumulivu huwa unanishinda nisipowaonjesha kha!!!!haha!haaaa!

 so this time around kadi ya mualiko ilimuhusu na Baba watoto si ndiyoooooo!!! haya mtuonje basi

Heading..............


Mama mbili


 na Roho yangu mimi

tulikuwepo humo ndani shughulini
nikiripoti kutoka eneo la tukio  wale wafesibooking bila shaka umeona mengi ya hii shughuli

Nawapenda

Friday, October 16, 2015

THE LOOK

Haya basi mkawe na weekend njema wandugu.............  Moja ya vitu muhimu sana vyakuvipa kipaumbele wapenzi ni kujongea nyumbani mwa Bwana............ Aisee muhimu mnoo wengi hamuwezi tena, mmekata tamaa,huoni umuhimu tena naomba nikwambie , hizo zote nisauti za shetani anajua kile Mungu alichokuandalia, fanya maamuzi sasa wapendwa wangu....... ......... sipigi porojo za bure maisha yangu ni ushuhuda, nimemuona Mungu mnooo........ wakati mwingine najiona sistahili... naomba nikuhakikishie  utayari na kukubali ndani ya Moyo wako, kupondeka kwa kunia nakukiri kuwa yeye ni Bwana na mwokozi wako, ndivyo vigezo toshaaaaaaaaaa.......otherwise sina uhakika km kina sie hii neema ingetukuta yaani km angekuwa anahesabu uwiii.........................Hivi umewahi hata kujipa dakika ukumbuke ile safari yako mahali ambapo unajua kabisa habari ingekuwa nyingine leo, umewahikujiuliza hata wale marafiki wako wapi??? imekuwaje leo uko hivi na wao wako hivi?? aiseee  ila ni muhimu sana kuangalia hivyo vitu @list vinaturudisha kuwa wanadamu aisee, maana kuna wakati tunajisahau sana na kuvaa roho zisizo na ubinadamu.......JINA LA BWANA LIBARIKIWE




na ubora wake

nawapenda.......

Tuesday, October 13, 2015

NIPOGO.........

Nawasalimu wapendwa kapicha kanamasiku fulani ila ndo nimeona kiwe kisalimio ha!ha!ha! majukumu na mimi ila sema ndo hivyo mapenzi kwenu ni mengii lazima nije niwachungulie kidogo .......

Mama mbili mwenyewe........

Nawapenda

Wednesday, October 7, 2015

LINATUHUSU HUMU NDANI................

Haya jamani nimekutana nalo  naona kama ni habari njema kwangu ..... Haya sasa mambo mengine ngoja tukamalizie chumbani tusiwape faida walimwengu...................Ahsante Mwanasheria wetu Addo, tunajivunia kuwa namakamanda wa Yesu kwenye nyazifa hizo ubarikiwe mnooo. ndaga ndaga Baba uvombile.........ha!ha!ha! wanyakusa msaada hapa kikikikiii!
kwa udhamini wa AYO TV



Sunday, October 4, 2015

LA FAMILIA................

Wapenzi wangu hope wote mko poua eti eeh??? haya mwenzenu weekend yangu ilikuwa ni full kubond,wageni kama kawa shughuli za hapa na pale yote kuipa akili ipumzike from mabox.
haya basi tuonje one of the day tuliamua kutoka kihivyo mabinti wa familia.........

amesema next year when she turn 8yrs old atampita mama yake urefu ha!ha!ha! ngoja tuone basi 

hiyo miwani aliyeweza kuamlia kesi baba mtu mi nilishindwa 



pande hii nayo si haba wapenzi Jina la Bwana libarikiwe
hamtuwezi nyie hapa afya tuu ha!ha!ha! nilisahau push up tuu.......

The joy of the Lord is my strength......




utatu na ubora wao

we do what is best for us.............

 roho za Mama wawili 

Ahsante Yesu......

Wawili

Tunawapenda


Friday, October 2, 2015