Pages

Ads 468x60px

Tuesday, April 28, 2015

THE LOOK.......................


Hageuki amegoma na ushamba wake.......

 mapozi na mkoko duu aisee nilivyokuwa najivunza hii kitu ilinichimba mpaka leo nina alama kubwa sana mguuni ki!ki!ki!
mimi huyo

heee jamani hizi zingine sijui zimejipost!!! ha!ha!ha! bwana nyie nimeshindwa kuvumilia nimekutana nazo uvumilivu mgumu sometimes ha!ha!ha!ha!



A man behind my success..............

We love you.........

Sunday, April 26, 2015

MAMA WAWILI.................


Mama wawili nae yumo eti eeh??? kwa maana nyingine amebarikiwa ha!ha!ha! eeh! nikingoja kusifiwa mbona ntasubiri sanaaa kwi!kwi!kwi!


 Panaponivutia zaidi sana ni hapa aisee........ Kiatu nimekitoa duka mchanganyiko a.k.a hakuna jina halafu ndo kilikuwa hicho hicho ha!ha!ha! ila uso sasa nakuwa mvivu kidogo kushare kwa sababu wadau wengi hamuwezi kunisapoti  wanaoweza kunisapoti ni wale walio Australia,Uk,USA,Newzland na Canada  ambao wengi wao nakutana nao huku huku au vijiwe vingine ha!ha!ha! ila najiandaa kuja kushare na nyie ilikuwaje nikaingia humu yaani, nini kilinivuti nje tuu na nakuamua kujiingiza mzima mzima kuuza, nawezaje kuuza urembo huku 5/7 mwanamke ni full kushika tope a.k.a kuosha magari na mengineyo mengi .......... otherwise aisee  hizo kope ni no fake zone  ni kope zako mwenye we unazivuta na mascara  kitu natural hakiongopi............ foundation na mazaga zaga yote bwana nyie hamjaanza kunijua leo sio eti eeh?? ee bwana nyie si ndio mlikuwa mnanipiga madogo yaani nimebarikiwa kote kote ila ze face mlikuwa na mashaka??/ha!ha!ha! yaani lazima mkubali hizi products za kitofauti.......... haya ingiine humu kwa wale ambao mko hizo nchi fanyakunisapoti na wewe ujaribu  hautajuta............na wengine ingieni tuu kushangaa  mtanielewa  www.youniqueproducts.com/beyourose msisahau kulike my facebook page Younique by rose  senkyuuuuuuu sekyuuu sekyuuuu sanaaaa



Muonekano mzima.

nimewambia my facebook friends kwamba no matter where i fall he always pick me up again yaani i am covered by his grace hata shetani anajua huko aliko..............nimeaamka na hilo neno sijui kwa nini?? but hey wadau wangu God is good yaani......... all you need is, not to be somebody else but youself

Nawapenda


Friday, April 24, 2015

NIKUMBUSHE WEMA WAKO........................


Nimejikuta namsikiliza huyu Dada, aisee kuna kitu cha tofauti ndani yake Bwana anataka kukitoa kupitia yeye........... Simjui ila maombi yangu aendelee kuichuchumilia taji aliyopewa. Sio kila mtu anacho alichonacho duuu!! 

Sikiliza na mwenzangu km bado hujakutana na huu wimbo.......


Saturday, April 18, 2015

RIP LUSEKELO........(Seky)


Ndugu zangu wapenzi?Watanzania wenzangu ni maombi yetu sisi tuliokaribu na Marehemu.  Tunaomba  mtusaidie hizo picha zisitumike hasa za mke na watoto kwani hazihusiki na wala tunaona hakuna sababu ya leo kuwajua mke au watoto kwa namna hii inayosambazwa  km hamkuweza kuwajua kipindi muhusika yuko hai.

Ukituuliza bila kutuonyesha huo ushahidi kwa kweli tusingewaelewa, lakini tunashindwa na mtu pekee wakutupa majibu ni yeye ambaye hata sasa hasemi jamani  wala haoni, yuko kwenye barafu ameganda hata tukamtikise vipi haiwezekani..........kilichobaki ni kumpa heshima ya mwisho. Kwetu sisi  bado tunaamini alikuwa ni Baba aliyewajibika na kuwapenda watoto wake, alikuwa ni Mume aliyempenda sana mke wake japokuwa ana hayo mapungufu ambayo tumeweza kuyasikia kama yanavyosambazwa, na pia alikuwa ni rafiki  mwema sana,sana sana. Kuna mengi yaliyojificha ambayo hamyajui na tunayaheshimu sana ambayo tusingeweza kuruhusu akili zetu zitawale na hizi habari ambazo sio nzuri badala yake tuendelee kuomboleza nakumuombea  kwa namna na jinsi alivyokuwa wa thamani kwetu.

 Hata kama alifanya hivyo ndugu zangu watu wake wakaribu tunaamini alifanya kwa usiri maana hatukuona tofauti yoyote ya uwajibikaji wake hivyo kwetu ni heshima kubwa mnoo hayo mengine ni yeye na Mungu  wake.

Tunaomba mtusaidie hili ndugu zangu binafsi nimeshindwa nimejitahidi kukimbia social media na hata sikutegemea kupost lakini bahati mbaya sasa  kwa sababu zisizozuilika unajikuta umeingia na kukutana na haya....... ndugu zangu inaumiza mnooo  hasa unapoona mke na watoto wananyooshiwa vidole..........wapenzi Jamani mbona hakuwa that much evil jamani..........

Tunaomba ndugu zangu tunaelewa tayari imeshakuwa lakini mnaweza kutusaidia kupunguza hii speed yakuenea na kutokuifanya aonekane kama hakuwa na utu tena. mkishindwa kabisa basi mturuhusu tuwe kwenye hali ya utulivu hadi hapo atakapoingia kwenye nyumba yake ya milele.

Ahsanteni

Gone to soon Lusekelo jamani RIP.

Thursday, April 16, 2015

ANOTHER DAY.......................

Leo tulipita kushangaa maduka ki!ki!ki!ki! kuna watu kwenye hili eneo huwa nawachoshaje????  washanizoea lakini........
halafu leo km tuko sare sare vile au???

mtu nne............. Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya unne huu......


 Mutu na binti yake

oh! dear...................Sifa na utukufu umrudie yeye aliye juuuuu


vione kwanza.......
na binti yake mdogo......



hawa hapa roho zangu mie jamani!!! Mungu wangu anitunzie tuzeeke pamoja tuone na vizazi vya nne...........


haya navifurushi vyetu  tumeshindwa kuvumilia tulivyokutana navyo imetubidi tuvuruge tuu bajeti ya holiday ha!ha!ha!

Tunawapenda

Wednesday, April 15, 2015

YANAYOENDELEA.................................



Nani hawa eti????


 Lafamilia

 humu ndani leo ndo tulikuwa tunashangaa

the view


 ila bwana nimegundua si tunasifa sana yaani........ tukiona watu wanatushangaa ndo tunaletaje ukatuni ki!ki!ki!

yakufanya yalikuwa mengi mnoo humu ndani

 nayakushangaa ndo balaa simmeona wenyewe wakulima utawajua tuu ha!ha!ha!

wakatuona na mkamera wetu mkubwaaa wenyewe wakatuita ha!ha!ha!


Mabinti wa Slay

Hapa tulikuwa tayari tumehama kiwanja ndo tukakuta na hili......
In their own world.........
 Tunawapenda

Monday, April 13, 2015

SISI HAPA..............................................

Wandugu moja ya ndotoyangu moja mwaka  huu kuingia ndani ya hili kanisa........ Duu atmosphere iliyopo humo ndani mbona sikutaka kutoka kabisa aisee...........

 haya mapicha hayo

hiyo picha niliomba ilazimishwe nipate hiyo view yaani  chezea kumbukumbu........


la familia
 mwingine yupo nyuma ya Camera ha!ha!ha!

roho za Mama wawili

Dada mkubwa

Dada mdogo (ignore keep clear thing you know ushamba mzigo ha!ha!ha!)


mashindano ya mapozi yakaanza
 mshindi ni????


ha!ha!ha! jaji nimeshindwa nawaachia wadau


Tunawapenda

Friday, April 10, 2015

LA FAMILIA......................................


mnuno sasa ha1ha!ha! 

amegeuka
Kitaa kushangaa mataa na wawili.........


 mpenda picha kama Mama yake



 Sijui tunaliitaje hili pozi eti??? ha!ha!ha!
with the man behind the camera.......

Tunawapenda