Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 24, 2015

HAPA NA PALE ZA MAMA WAWILI.................


Haya wandugu
 Mwenzenu week iliyopita haya ndo yaliniweka busy........  This time mimi mwenyewe ndo  Mama shughuli............. hizi picha za kwanza niliamua kumsuprise  one of my beautiful lady. nilisahau kabisa birthday yake nimekumbuka few days before ........yaani huwezi fanya chochote cha maana na hasa ukizingatia  nina mambo mengiiiiiii in the same week. so ikabidi niite watu wachache sana watakaotosha kwenye meza yangu(8 people) nipike dinner  nimuite muhusika km nina meeting naye kwa ajili ya project nyingine tunayoifanya. Mbaya zaidi siku hiyo nayo mabox yalikuwa  busy balaa........nikajikuta masaa matatu kabla sina nilichokifanya Thank God nilifanya kutafutiza vilivyopo na siku ilipendeza zaidi ya matarajio.........

 Sijaachia hizo picha, kiukweli watu hawakuja wamejiandaa  wametokea kazini moja kwa moja na birthday girl mwenyewe alikuja km kashajianda kulala soon after our meeting ha!ha!ha! 

 ila nimekuja gundua kitu kimoja aisee nimejikuta nina kipaji cha kuset table yaani hata kama chakula kibaya watu wanaenjoy ile set up yangu Ha!ha!ha!
 Nyie kweli mjue sijisifii  before nilikuwa napewa sifa sana ila sikuwahi kuizingatia sasa siku hizi nimekuwa naitwa itwa kwenye vishughuli kutoa viji idea vyangu aisee najikubali bahati mbaya no room yakufanya hii biashara kwangu nina mambo mengi mnoooooo..... ila km nisingekuwa busy am sure ningejiongezea kajipato kupitia hili. Ha!ha1ha! ha! (Mama misifa)


 Haya na hii event nyingine nafikiri niliwatonya kuna kajifundrise nakafanya  lets see labda naweza funguka km ilkibidi......


 Ahsante Mungu lengo la hii siku  tuliimeet...........

 Haya wengine huwa hamnielewi  hilo ndo jina halisi la Baba watoto wangu........





 Nawapenda

Monday, February 23, 2015

MAMA WAWILI

Bwana haka kachukua picha hakunitendea haki mjue??? yaani nilinoga zaidi ya hapo sijui kwa nini kalikuwa kana  piga picha zinashake!!!!! kameniuzije??/ ha!ha!ha!ha! miss you  my  wadau  ila sema nini ubusy wa maisha haepukiki............
 Nimekusikia mdau wangu siumena nywele zimepunguzwa??? so kipilipili ndo mpango


 Huyu hapa



mapenzi ya jumsuit naona yamenirudia.....



Love you.........

Thursday, February 19, 2015

NIPOGO................


Wandugu nipogo ila ndo kuna   ubusy  balaa....... nina  fundrise dinner, hii weekend kwa ajili ya kitu fulani, Hata nikiwambia humu ndani hakiwahusu  eti eeh??? kikubwa mnivumilie nashindwa kugawa mda wa humu ndani, mabox na hii event maana inanitegemea kwa kiasi fulani ........ 

Otherwise, Pata kitu basi kutoka kwa baby Lupita...............ya siku nyingi ila nimejikuta natamani kuishare km hujakutana nayo 



Friday, February 13, 2015

TUZUNGUMZE.......



 Hivi Ze kupendana day ndo kesho?? Ha!ha!ha!  Halafu eti nasikia mmeweka mgomo........Mapenzi sio kupendana tena imekuwa mambo $$$$ 

Ha!ha!ha! ila bongo mnatisha mjue????aisee hivi mnajua mnavyotutoa stress za mabox tukiingia huku mitandaoni??  Duu kweli home is a sweet home yaani...........

anyway back to the topic

Nimejikuta nimewaza sana kwa habari ya wakati, kuna maneno mengi huwa siyaelewi wala kunikaa. Sijui kwako mpendwa unalipokeaje..... Binafsi naona kama kifungo........

Nanukuu.....

14 Wakati ule wanafunzi wake Yohana wakamwendea, wakasema, Kwa nini sisi na Mafarisayo twafunga, bali wanafunzi wako hawafungi? 
15 Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga. 
16 Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi. 
17 Wala watu hawatii divai mpya katika viriba vikuukuu; na kama wakitia, vile viriba hupasuka, divai ikamwagika, na viriba vikaharibika; bali hutia divai mpya katika viriba vipya, vikahifadhika vyote. 


Majaribu  ni pito ambalo kila mwanadamu hupitia,  Hatuzuiliwi kufurahia leo eti kwa kuhofia muda wangu wajaribu ukifika  ntaiambiaje jamii???Tulio wengi tumejikuta mtu akijaribiwa  tunamuhukumu kwa ile furaha yake aliyoonyesha kabla ya jaribu kumkuta..... mfano mtu kajiselfie anavyokula bata na mumewe  baada ya mda fulani shetani kapita kwenye hiyo ndoa Duuu!! wenyewe(Kifungo)  utawasikia sialikuwa anaringa na ndoa yake............ sialikuwa anajifanya yeye ndo............. nimetumia ndoa kama mfano kuna maeneo mengi ya maisha km umelengwa kunielewa utanielewa.

Sikia nikwambie,  Hivi unajua Shuhuda za kweli zinampa Mungu utukufu??  Tatizo sio aliyejaribiwa ,Tatizo unalo wewe unaetoa maneno  ya dizaini hiyo unashindwa kutofautisha wakati.Na unashindwa kutambua watu tunatofautiana jinsi yakuyaweka mambo .....

Ni kweli tunahitaji hekima maana unapotoa ushuhuda  unatangaza vita na shetani,  lakini mpendwa kwani furaha yako yakuigiza au ni kweli inatoka kwa Bwana?? 

Mkumbuke Daudi alicheza mpaka nguo  kuanguka kwa sababu amebeba utukufu  wa Bwana, Tumemuona Mungu  akimtetea  mnoo........na Pia huyo huyo Daudi tunamuona akiomboleza mara baada yakuletewa ujumbe na Nathani  nakutambua makosa yake na hata mwanae alipokufa  alinyanyuka kula na kwenda  nyumbani mwa Bwana kuabudu.

Jiulize,

Unafikiri kwa nini Yesu alisema Siku zitakuja watakapoondolewa Bwana harusi ndipo watafunga??? Nidhahili kuwa Duniani tumejaa mchanganyo Shetani kila kona anatuwinda, tunajikuta tumemfungulia mlango kabla hutujajielewa majanga yameshatokea Kako fasta mnooo.......... Muulize Daudi kilichomfanya aache kwenda vitani apande gorofani ni nini?? acha na hiyo kilichomfanya amkodolee macho mke wa mtu  badala yakukimbia kuona alichokiona nini??
Kuna siku ntakuja humu kuwaa,bia kuna jaribu moja nilipitia km miaka  5-6 iliyopita nilivyokuja kumjoin my Baba watoto.. Aisee Kama sio neema na hekima ya Mungu jinsi nilivyodeal na hiyo situation leo naangalia nyuma na muona shetani tuu alishikwa na aibu...........

Mwisho wa siku utakubaliana na mimi jaribu ni namna unavyodeal nalo kikubwa nikuomba neema ya Mungu lakini hatujimi kuenjoy ile furaha uliyonayo kwa kumuogopa mjaribu........ narudia tena hicho ni kifungo cha kutokuwa na moyo wa shukrani mbele za Mungu,Kutokuridhika na kile ulichobarikwa kwa sasa, na pia huna uhakika na unachokiamini au kukimiliki...... Unafikiri Kwa nini Daudi bado alinyanyuka  kufuta machozi,kuoga na kula akamalizia kwenda kumwabudu Mungu  maana alijua anayemwamini.............

 Haya ngoja nimalize na kesho ndo ma full show off ya Valentine jamani muwaache....... let them be..... we km unagulia sugua goti   Mungu akuvushe kwenye huo mjaribu kuliko kutetemeka kwa hasira za chuki nyuma ya komputa, unajua nini unaongeza donda ha!ha!ha!ha! 

 As for mama wawili here no mashauzi mwee ........ Baba watoto anapiga mabox ya usiku akirudi ni full kulala ready for another night kwi!kwi!kwi chezea shift??? Jamani si tumesema wenyewe tunataka $$$ no maua  na kadi??? haya sasa ndo kulazwa mzungu wa nne zikatafutwe hizo $$$ uletewe Kwi!kwi!kwi!

Ndugu zangu wa insta nyie mnitag tuu sina shida  mnidobolishe mashauzi ha!ha!ha!

haya mnowone

love you..........






Wednesday, February 11, 2015

THE LOOK................

Wapendwa wangu yaani sijui tutazungumza lini...................Mbona huku kichwani mwangu nina mambo kibao nataka kuwashirikisha a.k.a tuyazungumze???? Ila daa  gazeti linahitaji kutafakari,kuchambua, kiujumla linahitaji muda mzuri ili uweze kufikisha ujumbe vizuri...............

yaani nivichwa vya habari tuu   moja nimeipa jina MUDA NA WA SAA NI SASA .........nikiwa nimeambatanisha neno kwenye biblia pale Yesu alipoulizwa mbona wanafunzi wako hawafungi Mathayo 9:14-17.
 na hii nyingine sijaipatia kichwa vizuri ila nataka kuzungumzia kwa habari ya mtu kujiona yeye ni zaidi kuliko, au mtu kutamani awe yeye kwenye nafasi fulani iwe ya kimwili au kiroho lakini kwa sababu fulani haiwezekani......... hivi vitu viwili vinatoka na kujifananisha  kiovu  neno langu la kukazia 2wakorinto 10:12

na nyingine nayo duu nashindwa  kuliweka tena ha!ha!ha! ila ni kwa habari ya Agano/ nadhili yaani unapoweka agano mbele za Mungu kwa ajili ya jambo fulani, au unapotamka Neno fulani mbele za Mungu huwa linakuwa lina nguvu sana kwenye ulimwengu wa roho..........   nimetokea kwa Ibrahimu alivyomuahidi Mungu mtoto atakae mpa atamrudishia na kwa namna ambavyo Ibrahimu alipotaka kutimiza ahadi..........


 Haya basi mkajisomee yawezekana natakiwa kutoa muongozo tuu then watu mkafunuliwe huko na kama nimeandaliwa kuyazungumzia humu basi Bwana atafanya njia yakunikalisha chini kuleta gazeti ha!ha!ha!ha!

Haya Pata Muonekano.........

Jamani hizi nywele niliweka purple na kuzinyausha sikutegemea rangi itakayotoka aisee nimeipendaje??? sema nywele ndefu sana hazikai vizuri sijajielewa kama nataka kuzifuga au nipunguze ha!ha!ha!




Nawapenda

Monday, February 9, 2015

MAMA WAWILI..................


 Segitoooo


dizaini kisela eti ha!ha!ha!


kafurahi eti, nani huyo kamchekesha???

mapozi sasa eti.......


Mbarikiwe mpaka shetani achanganyikiwe........

Friday, February 6, 2015

LA FAMILIA


Wawili wangu.............










Baba na Wanawe

recomended....................

na toto yake wengi wanasema sura ya toto ni yangu kasoro hiyo round shape mi bwana nabisha sana tuu..... hayo macho,pua, mdomo nyusi mmmh!!! basi kama ni hivyo nimefana na ubavu wangu ha!ha!ha!

nime mmiss tayari mwee shouger wa Muda  ha!ha!ha!

Zilizobaki zitakuwa the look,na tbt ukurasa wamafichoni tumeufunga.

Tunawapenda



Wednesday, February 4, 2015

ENDELEA KUONJA.....................

Mamake nani huyu???

mapozi na mimi

humo ndani ndo mawine yanatengenezwa ya kila aina yaaani???


kabla hujanunua  unatest  yenye radha unayoipenda ndo unanunua bahati yao ze kilevi iz not kupandaring mbona tungewakomesha hao ha!ha!ha!ha! huyo bidada hapo na glass yake tulimuacha anaendelea kuonja  tuu......... sina uhakika km alinunua au aliondoka tayari zinasoma  mbili mbili......

 Tukaenda humu sasa wee kunaogopesha licave likubwaaaaaaaaa




 mnapishana tuu wengine wanaingia wengine wanatoka

la familia


Careen bwana hapa na sisi tulimpata kila tunachoogopa wenzie ye na Baba yake ndo wanatupa show of za nguvu  hapa kwenye  Cave mweee alisali sara zote ha!ha!ha!ha!


Kila mizunguko tuliyoifanya watu walitaka siku iishie majini ndo hivyo sasa........ Mimi na mwanangu mdogo bahari hutuogeshi aisee tunajua kuangalia tuu so sikupata tabu kubeba vitendea kazi vyangu na mwanangu mdogo lakini tulivyofika duu mwenzangu kanigeuka ha!ha!ha!ha!

alivyoona wenzie wamenogewa hee!! sijakaa sawa  na yeye kaloana tayari kwi!kwi!kwi!



my life


Endeleeni kunichungulia matukio ni mengi ila ikifika ijumaa hatujamaliza kurusha basi mtatuachia wenyewe kwenye kumbukumbu zetu. 

Tunawapenda mnoooo

Tuesday, February 3, 2015

ONJA MAMBO YA VACATION.............................

Siongei nikiongea ntajikuta najitetea ha!ha!ha! Angalizo tuu kwa wapendwa,wakwe,mashemeji kama vipi msiscrow down ki!ki!ki! ..................

nani huyu eti???




na nani yake??

 its about us kwa kweli hakuna  sura utakayokutana nayo inakujua na hata unavyopita hakuna anayeyambua uwepo wako ...............


bwana tukaingia hapo hee kumbe sijaweka picha ya ndani...... bwana nyie mjue tuu hayo maeneo tunapokula nakubembea ndo tuliambiwa wana award yakutengeneza the top 5 icecream..... duuu!!! tamu balaaa

tukaingia na humu ndani humo tukaona nawanavyotengeneza chocolate... sasa kuna za bure  unaonja kidogo unawaachia na wenzako duu kuna watu walikomesha hapo mbona nahisi tulivyotoka walijuta kuweka huu utaratibu ha!ha!ha!


tukapita nakuona watu namausafiri yao  yaani mtu kapark yatch yake hapo nahisi kama tulitia huruma mwee maana hapo tulikuwa tunapitwa tuu na couple wanaingia kuride wengine wanatoka ...... lakini unajua nini kilichonitia moyo karibia wote walikuwa na umri aisee so ikanitia moyo kama ukiwa na malengo bado inawezekana...............


khaaa!! hii kweli Mama wawili vacation mweee!!!

 mtu fido fido sasa anavyokenua ha!ha!ha!  naona nimemrudisha enzi zile za baby baby corido za mabibo hostel ha!ha!ha!





Tunawapenda