Pages

Ads 468x60px

Monday, December 31, 2012

MAOMBI YANGU 2013

NAHESABU MASAA TUU NIUONE MWAKA 2013....... nina kila sababu yakumshukuru Mungu kwa yale yote tangu nilipokuwa tumboni mpaka hivi leo........ nimeona, nimeshuhudia, nimepitia, na bado nangoja......Mbali na miangaiko ya dunia ile tu kupumua na kuwa na afya  sina sababu yakutokukushukuru.........Umenibariki siku hadi siku,umeniinua kutoka katika kiwango kimoja kwenda kingine, umeniweka mbali na mikono ya waharibifu, nimekuona ukinitetea  na kunisimamia hukumu ya wale walionipiga vita............ooh! nikijikagua,  nakiri kwa akili zangu timamu mimi si mkamilifu mpaka nikastahili haya.! bali ni neema na upendo wako kwangu unaonifanya nijivunie kuwa wa thamani mbele zako.............Ahsante kwa damu ya Mwanao ambayo imemwagika nakufanyika ukombozi wa maisha yangu..........Nisaidie Bwana kutokukumbuka majeraha niliopigwa na adui yangu mtesi ambayo yaliniinua kiwango kikubwa cha imani  kwa maana uliruhusu kwa sababu, na wewe ni Mungu utuwaziaye yaliyo mema........ ukanipe kibali niingiako na nitokako, ukanifanye mkuu ktk kila ardhi niikanyagayo, neno lako likafanyike dira ya maisha yangu, nikakamilishe yale uliokusudia bila kuruhusu mkono wa muovu ulionia mabaya juu yangu..................ukanipe heshima ya kuwa Mtoto,Mke,Mama,mchapa kazi,rafiki kila kitu kwa nafasi yake.....zaidi ya yote ukainue kiwangu changu cha maombi,usomaji wa neno na kulitendea kazi,  maana ndipo palipo uzima..............

binti mlokole akitoka kanisani
kila la kheri wadau wangu.........
msikate Tamaa ng'ang'ania muujiza wako mpaka kieleweke
songa mbele.........
angalia  kwa umbali ulikotoka na mshukuru Mungu kwa hapo ulipo..........jipe moyo hata hapo palipo baki panawezekana.......
tarajia mwaka wa ushindi, panga mikakati iliyo sahihi mkabidhi Mungu.........
anza Mwaka kwa kutafakari..... jipe muda wa kutosha ikiwezekana usijichanganye sanaaa...... maana mwaka utaanza bila kujijua umeanzaje...... kwa mfano ukianzia kilabuni hivyo ndivyo mwaka wako utakavyomaliza  hahahaaaaa!! mtazamo tuu.......
muke ya Slay......

Friday, December 28, 2012

DINNER @ JANE'S HOUSE



MEZA YA MAKAMUZI
NILISHINDWA MIE.......

 NA WENYE NYUMBA
SINAGA UTANI KWENYE KULA
Jane & a friend
couple
Team A
Team B
Team C

Thursday, December 27, 2012

CHRISTMAS 2012

Dada yenu huyo....
binti yangu huyo anakuwa  jamani........



 mdhungu yuleee!! nimekumbuka enzi hizo tulikuwa tukiwaona wee utafikiri Mungu ameshuka  hahahaaaa ama kweli ni neema! !
michezo na mwanangu mweee!

mumy am here
habari ndo hii
hapo hata chakula ataona unamchelewesha
sifa na utukufu ni Mungu wangu aliniwezesha kuwa mama wa wawili hawa........ mweeeeee!!!

happy kids
ukimuona huyu best anachangamkia mchezo jua umeeleweka


hapo chacha!!




showing mama some love......

the people i treasure with all my heart...........
dad's kids

Oyeah!
am blessed
mchana wetu uliishia hivi........

ACHA NIWE MSHAMBA TUUU.........

hivi kweli nyumba yangu nizungushe umeme hivi weee sidhani km ntakuwa na amani kwanza sitalala............... mbona ntakuwa naona nyumba yangu inalipuka mda wowote, hahahaaaa!!! mambo mengine acha yanipite.......kwanza hiyo budget yake mama wawili nshawaza mifuko ya cement bongo kwi kwi kwi!


Wednesday, December 26, 2012

CHRISTMAS EVE

We took the kids to see the Christmas lights in the Limo.............
Tulianzia hapa
@ Mjema's House
the team
tuliwapa vizawadi vyao ndani ya limo
my girl Jane
hivi jamani si bora niwe najisukia mwenyewe hebu angalieni hair look ya wawili...... mikono ya mama wawili hiyo huwa sijiamini tuu
ni kushangaa tuu
happy people




i will consider this next yr.......na  labda ntakuwa kwenye  gorofa  km hili hahahahaaaa who knows????pray for me.
kweli pple's choice mweee hii nyumda kiboko tulimuuliza muda aliyotumia kupamba alituambia 120hrs.....
duuuuuuu!!!
nourma
cute bby wenzake tunashangaa mataa yeye anashangaa limo hapo chacha!
watoto walitaka kutugomea kuondoka
anavyojua kushangaa km mama yake

us
\wamiliki wa limo wakipata picha na wadau wao