Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 29, 2012

KWA NINI NI SIMSHUKURU MUNGU KWA VILE NILIVYO?????

 Siku tatu kabla hajatoka masasi girls  ambako alikuwa amemaliza shule,Upendo Andrew alitumbukia kwenye shimo lililokuwa likiwaka moto wa majani makavu ya mwembe,alizama hadi kufikia karibu na kiuno, moto ulikuwa km umechokolewa na kijiti alipotumbukia,alipelekwa mkomaindo, baadaye miguu yake yote miwili ilikatwa, wazazi wake wote wawili walifariki kabla hajamaliza shule. baada ya hapo alikuwa analelewa na babu yake,naye alikuja kufariki......  alikosa msaada kabisa akaamua kuja dar kuanza kuomba omba maeneo ya imalaseko na maeneo mengine katikati ya mji.........alibahatika kumpata mtu wakumsomesha  compyuta , akapata kazi, bahati mbaya sana alishindwa kuifanya hiyo kazi kwa sababu machozi yalikuwa yakimtoka sana, alimuona doctor akaambiwa inasababishwa na mshipa  umefail kichwani ndo unashababisha  kutokwa na machozi.... hivyo kuamua kuendeleza kazi yake ya kuomba omba..............

Tukumbuke kwamba Upendo ni binadam aliyepata hayo majaribu akiwa bado ana umri fulani ambao pamoja na majaribu anayopitia ni rahisi kurubuniwa au kushawishika kwa namna fulani........Upendo alijikuta amezaa na mfanyakazi wa kazi za ndani kwa wahindi  ambaye nae ana mke na watoto wawili na Upendo akiwa na mtoto wa miezi kadhaa kwa sasa..........mmmmh!!! naomba niishie hapa please
 UPENDO ANAPATIKANA KWA NAMBA HII 0715271201  umeguswa, unata kakufanya kitu, una elfu moja,laki,million, mtafute au  mrushie m pesa jamani hata mia tano.......au chakula , mavazi,ikiwezeka mtafute uongee nae labda unaweza msaidia kimawazo au kumfariji, chochote fanya kwa vile ulivyoguswa na Mungu wa mbinguni atakukumbuka...........


 Dada Upendo
AKIWA NA MWANAE


TUZUNGUMZE

1.najiuliza tuu huyu dada hana miguu ambayo hata angeweza kufanya kazi ya mabox,wazee, usafi na zinginezo km za kina sie..... akajivunia kwa pesa anayojitafutia mwenyewe ameishia kuombaomba barabarani.......hapo zamani nilijua wanaomba omba ni wavivu lakini nikisoma hapo juu huyu dada hii ndo only option aliyonayo..........

2.na bado huyu dada ana ujuzi wa compyuta kwa sababu ya huo mshipa wamachozi hakuna atakaye mpa kazi labda mpaka pale atakapo saidiwa kufungua biashara yake mwenyewe....maisha yangekuwaje km angesema akuuu!! mi ninaujuzi wangu wa compyuta hivyo naisubiri mpaka niipate.... marufuku kuombaomba hahahahaaa!!!! nimecheka tuu wadau ni jinsi gani naumizwa.......hivi?????mmmmmh!!!

3.tuheshimiane,tuthaminiane,tumia kila nafasi uliopewa kwa jinsi ulivyojaliwa,dharau, dharau iwe mwiko kwako, lia na anaelia, cheka na anaye cheka.........hujui kesho yako wewe.... laiti km Upendo angejua asingepita karibu na ule moto uliobadilisha picha nzima ya maisha yake japo kuwa alishakuwa kwenye jaribu lakufiwa.......
week end njema wadau.......saturday & sunday ni siku ya Baba wawili na wawili wangu........sipost chochote zaidi yakuachia comment.........

MBARIKIWE!!!

Wednesday, November 28, 2012

MTAZAMO

Haya wadau mama wawili ni  mpikaji sana tu kila siku lazima niingie jikoni monday to friday......weekend labda tunaweza kula take away napo inategemea.......  Mabox sio kigezo kwangu chakutompikia Baba wawili...........my husband anapenda sana kula chakula alichopikiwa na mkewe.... vitafunwa lazima vipikwe mfano maandazi, chapati,mkate...huwezi mlisha  left over hiyo ni big no kwake, left over zinaliwa mchana mimi na wanangu when baba wawili is @ work.....   you can imagine how busy i am.........Ninafurahi na nina amani kupika kwa ajili ya mume wangu na wanangu, mtazamo wangu ni huu ni wajibu wangu kuhakikisha mume wangu amekula km ilivyo kwa wanangu... haijalishi niko busy vipi?????? akijisikia kunisaidi that is ok lakini sio kwa kumshurutisha aiseee............ uuuwiii eti nimekaa kwenye kitu baba wawili busy jikoni ananipikia!!!! mwe jamani !!!!!hivi kweli????mi kwangu hiyo  km laana vile heheheee!!! labda niwe naumwa...... yaani hata angekuwa mchina,sijui mzungu mndengereko mmmh!!!bado........Mweee sijui ndo ushamba wa mama wawili au ulimbukeni wa watu mi sijui.......halafu hata km anakusaidia hivi kuna haja yakukaa na wanawake wenzako kuwaambia???? unatafuta sifa au??? au ndo unatuambia unapendwa sana??????jamani kweli tuige tamaduni za watu lakini zingine hazitufai kabisa zinatuharibu.......kwa wale waliolewa na tamaduni zingine( wazungu), mi nafikiri  huyo jamaa aliona tofauti kati yako na wale wakwao ikiwa pamoja na maadili yakitanzania, basi tunza hiyo heshima na uhalisia wako ili akuthamini na kujidai ile tofauti yako na wale wakwao......otherwise tofauti itakuwa rangi ya ngozi tuu.......ni mtazamo wangu km ulivyo wako huwezi kunizuia kusema ila tunaweza kumsaidia mtu ambaye bado hajajua mwelekeo.....

Angalizo
sijasema ni vibaya mume kupika au kuosha vyombo ......... . kuna wanaume ambao wanapenda kufanya hivyo  na sio kumshurutisha.... na pia unavyoleta kwenye vikao vyetu vya kike liweke vizuri  basi au ikiwezekana usiseme kabisa.......hautapungukiwa chochote....

maandazi na mimi
usiniulize kiwango cha sukari au unga mbele kwa mbele bora mladi maandazi au sio.......hapo chacha!!
tayari kwakuchoma hahahaaa!!!
nikiwa na haraka na tumia deep fryer na huko ndo linafichwa
muke halali wa slay
nikiwa na mda napika kinyumbani na hilo ndo sufuria special kwa kazi hiyo
tayari ( hiyo shape ya andazi sasa khaaaa!!) lakini linalika au sio???
mama wa wawili naonja onja
usinichukue we nipende tuu ili twende sawa
happy mama
napenda kupika huku na safisha ili nisiwe na kazi kubwa nikimaliza
karibu....... nikimaliza tuu navuta apple juice na maandazi yangu kadhaaa buruuuudaaani!!!!

Tuesday, November 27, 2012

HAPPY 1ST BIRTHDAY BEYOU BLOG


Haya wadau BE YOU BLOG ndo ishafunga mwaka hivyo,kuna mengi nimejifunza ikiwa nikuongeza good friend  & haters....... yote maisha wanadam tumeumbiwa majaribu, ni kawaida na yatupasa kuyashinda.....Nimejifunza  na ninaendelea kujifunza kila sekunde,dakika au saa inayokuja kwangu ni opportunity haijalishi imekujaje yanipasa kuitumia ipasavyo huku nikinia kutimiza lengo......

Napenda kutumia muda huu kuwashukuru wote mnaoingia humu,nikijaribu kukumbuka siku na saa nilipoanzisha hii blog na kwa nini nilianzisha ni story ndefu sana sana japo sikuweka hapo awali nini malengo yangu.ok ikiwa ni pamoja na kufunga mwaka Napenda kumshukuru Mungu Kwa yote aliyoniwezesha  na hata yale ambayo bado napiga goti hayajajibiwa naamini hakuna chozi wala goti linalopigwa kwa Mungu lisijibiwa...... it is a matter of time......haukuwa mda sahihi.....all in all mimi leo kuwa mimi, uzima, afya, amani vyote ni neema nina kila sababu yakusema Ahsante kwake aliye niwezesha........hivyo moja ya shukruni yangu nimeamua kumshukuru Mungu kwa kumzawadia mdau AU$100  hapo chacha....... jamani sio kwamba ninazo No!No!No!  Mungu mwenyewe ndo anajua ntakavyojikakamua hahahaaaaa!!! au sina ndugu wa karibu mwenye hitaji hili yaani ninao wengi sana lakini Mungu ndo anajua why i wanna do this.

MASHARTI

1. NITUMIE  E MAIL NIAMBIE  UNAJIFUNZA NINI HUMU, NINI HUKIPENDI UNGEPENDA KIBORESHWE,UNACHOKIPENDA NA KWA NINI UNAKIPENDA

2. HOW DIDI YOU GET TO KNOW BE YOU BLOG ( UMETUJUAJE)

3. MSHINDI WETU NINGEPENDA ATOKE TANZANIA KWA PESA HII NAAMINI KWA TANZANIA ITAFANYA KITU KULIKO NCHI ZA WENZETU INGAWA MDAU YOYOTE UNARUHUSIWA KUJIBU MASWALI HAPO JUU. MWISHO WA E MAIL PLEASE UKO WAPI
e mail:slayros@yahoo.com
mwisho wakupokea e mail tar 5/12/2012 atatafutwa mshindi  before tar 15/12/2012  mshindi amepatikana na pesa yake anayo tayari kwa christmass..........itategemea change ya siku hiyo but not less than  shillings 150,000 za kitanzania.
Mbarikiwe.....

Monday, November 26, 2012

NEW ARRIVAL

Haya sasa habari ya mujini ni SILVER BOUTIQUE..... vivazi vya ofisini, vijacho,mitoko ya hapa na pale hukosi size yako.....mzigo umeshuka wahi  sasa,hakuna longolongo wamethibitishwa hata  mama wawili shahidi.......wanapatikana OP AZAM TAKE AWAY/JAMUHURI ST. NEW BENJAMIN MKAPA BUILDING MOB:+255 713 608 383

ukipenda ya maua au plain km ya mama wawili nenda kawaone......


i must have this.....
sukari sukari mama wawili naye anayo yake......uchaguzi ni wako rangi yoyote utapata

hapa tunatamanishana jamani naweza badili jina kuwa mama watatu hahahaaa!!

ushindwe wewe
hapo chacha




haya sasa wenye maumbo yenu








Nimejifunza.......

 
kuna kitu ambacho wanadam huwa tunajisahau sana sana, tunasahau kuwa hapa duniani tuwa safiri, safari tusioijua lini mwisho wake, kwa maana nyingine hakuna ajuae kesho yake..........na km hatujui je tupo tayari?????ki ukweli asilimia kubwa wengi tunaanza kukumbuka hili pale tunapoumwa au tunapokuwa na malazi fulani yanayotupelekea hofa  ndipo tunapokumbuka hili, tunasahau kuwa hii safari haijalishi umeumwa au mzima ikifika imefika.............maandiko yanasema SITAKUFA BALI NTAISHI  NIYASIMULIE MATENDO MAKUU YA BWANA,lakini bado naambiwa HAKUNA AIJUYE SIKU WALA SAA YA MWANA WA ADAM KUJA nikisoma zaidi naambiwa KILA NAFSI ITAONJA MAUTI..... huu ni udhibitisho kwangu uwe mwamini au usiwe mwamini yatupasa tuwe tayari......

Mama wawili nilipokea msiba last thursday ulionigusa, ulionifundisha  na kunikumbusha  yalionipelekea leo niandike haya............(MAY HIS SOUL REST IN PEACE)

Balance your life
Jamani km upo uwezekano  wa kula bata usijipunje kula as much as you can  wakati huo huo ujue unaweza kuishi miaka mia moja hahahaaaaa!!! umejiandaaje?????.....panga mipango kamili kwa jamii yako mke/mume, au watoto.aisee this man was smart hey!!!  sijui nisema???

sorround yourself with positive people
hapo chacha hahahaaaa!!!  jamani using'ang'anie watu ambao unahisi unawahitaji  kwa kile eti  sijui kabila moja, sijui wa wapi  guys ni kweli atakae kuzika humjui hivyo tuna kila sababu ya kumthamini na kumuheshimu kila mtu bila kujali atakusaidia au hatakusaidia huo ndio ubinadam. lakini, kunawakati tunakumbatia watu ambao they might be right but  not for you......kwa maana nyingine they dont deserve u!!! jamani hichi kipindi niliwahi kupitia aiseee uwiiiiii yaani kila unachofanya unawaza kwanza hivi ntawafurahisha au, unawaza tuu mahusiano na watu ambao kwa mda wa miaka 27 or so tangu nilipozaliwa sijawahi onana nao na wala sikutegemea ....... OMG  usiombe hichi kipindi leo nimekumbuka mwee.....it was worse,i tried, it just didnt work for me ...... am so glad am over it!!! kama ni mara ya kwanza aisee ni kazi kwa sababu utajiona kabisa unajitahidi kupotezea lakini moyo wako unakusuta  because that is not real you.... ila kwa maumivu yake aisee utajifunza tu mmmmh! nilihitaji na maombi ya ziada. back to the topic this man was down to earth......wakina sie tukiona mzungu tunaanza this, that za kujikakamua hahahaaa!!! jamani alijua kuishi bila kujali unacho au hauna, haijalishi una rangi gani na hivyo kiswahili ajikuwa anakijua duu tulijiachia kwa kweli mwee (RIP) ntaongea mpaka waosha vinywa mtapata  vya kuongea haya hayo ndo yangu ya leo.........
mama  yao wawili

muke ya mwenyewe
mimi

love yo

Thursday, November 22, 2012

UP TO DATE.....


 Guys,  i had a very important  meeting  this week for two days........Thanks God all went good!! its all about my dream heheheee!! imebaki makabidhiano tuu Mama yao amiliki .........Bwana akisimama ni nani atakayezuia?????????Wakati wa Bwana ukifika umefika  NA UKIFIKA HUWA NA KISHINDWA CHA KUBOMOA NA KUSAMBARATISHA mpango mzima wa adui (haters) kwi!kwi! kwi! i love all my haters  and i pray for them to witness my miracles......thats all! otherwise watu wangu wa ukweli nawapendaje???? natamani kweli kuwaweka wazi  but heheheeee hakuna raha km kumsuprise adui au sio vuta subira wapedhiiii, some of you know, what is all about...... i believe your all my good people km sivyo heheheee!! bad luck isome kimya kimya inywee na maji.............

jamani camera yangu kimeo  cha msingi ujumbe au sio????

mama wa wawili

muke yake slay
nafanania eeeh!!!!

Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu..........na kwa jinsi hii ukafanyike kuwa shuhuda na mataifa wakatambue ukuu na uweza uliopo ndani yako.........

Tuesday, November 20, 2012

SHUKRANI WADAU

Hii ni kwa wale wadau wangu niliomba mniombee niongezeke vikilo  kadhaa hahahaaa!!!!.i was so skiny...... inatosha wa ndugu..... inaonyesha kweli mnajua kutunza agano nakuomba kwa uaminifu kwi kwi kwi kwi! naomba nitangaze rasmi tusitishe hayo maombi vile vikilo vyetu vimeshatimia  ninakoelekea sasa mtanipeleka kwenye ratiba ya diet na gym kitu ambacho sitaweza kabisa hahahaaaa!!!! mama wawili is too busy muda wa gym hautakuwepo and i love my food aisee ukinipeleka kwenye diet utaniua  hahahaaaa!!(joke) 

kiukweli i love me kwa sasa nisiongezeke wala nispungue


mama yao

MY CAREEN NDANI YA KWAYA

"waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbingu ni wao."


Monday, November 19, 2012

Birthday dinner


mama yao
najikagua kwanza km nimetokelezea hahahaaa!!
muke wa Slay
mapacha wa baba na mama tofauti....
nadekaje birthday girl
shemeji Barick,my laazizi &Rashid
tulianza na sea food  


 me & jane tumezaliwa same day na pia ni mke mwenzangu,we hang out together,we have a lot in common ........  
 tulikulaje???

 Kata keki tuleeee, kata cake tulee..............

 happy people
 kila mtu na wake.......tumetokelezeaje


 lovely couple
hatunaga  maneno na mtu kwi! kwi! kwi! we fully occupied  with our life......